Recent content by Iamshwaib

  1. I

    JamiiForums Tanzania KERO Kusuasua kwa uzoaji taka kunatishia Afya za wakazi wa Ubungo Riverside

    Nikiwa Ubungo Riverside, nimebaini kuwepo kwa changamoto kubwa ya uondoaji wa taka ambapo huduma hiyo imekuwa ya kusuasua kwa muda sasa. Hali hii imesababisha taka kurundikwa kando ya barabara na katika maeneo ya makazi kwa siku nyingi bila kuondolewa. Wakazi wa eneo hili wanasema taka hizo...
Back
Top Bottom