Recent content by iamlissu

  1. iamlissu

    Hivi kuna Frederic Mwakalebela wangapi nchi hii?

    Apart from kosa aliofanya juzi sikujua haya mengine brother lakini ni dhahiri bado tupo nyuma sana from the modern game Kosa pekee iliofanyika ni kwamba amecorrect hili kosa mwenyewe Yanga ilibidi itoe statement kuhusu kiongozi wao kama ingemtetea au ingemuadhibu lakini imewapa rungu majirani...
  2. iamlissu

    Andres Iniesta vs Xavi Hernandez

    Scholes against Xavi is another wrong debate sir Sent using Jamii Forums mobile app
  3. iamlissu

    Andres Iniesta vs Xavi Hernandez

    Tukianza kuongelea hawa wawili hakuna linalppingika kwamba ile dream team alietaka johan cryuff ilitimia zaidi na vijana hawa wawilii wakiongozwa na Pep Lakini tukisema iniesta ni bora kuliko Xavi tutadanganyana Xavi alikua ndio mhimili mkuu na roho ya timu ukizingatia tik tak iliwafanya...
Back
Top Bottom