Recent content by I believe on Miracles

  1. I

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi (kibarua)

    Habari ya Uzima wanaJF! Nimekuja mbele yenu kuomba msaada wa kibarua chochote Cha halali. ✅Nna shahada kwenye real estate management (hiki kisiwe kigezo Cha Mimi kupewa kazi) ✅Najua vema kutumia kompyuta kwenye program zote. Naishi DSM, Asanteni sana
  2. I

    JamiiForums Tanzania Naombeni Mchongo

    Mungu akubariki sana, Usifikwe na hali ya Ukata.
  3. I

    JamiiForums Tanzania Naombeni Mchongo

    Habari za Asubuhi watu wa MUNGU Naomba kwa aliye kwenye Mchongo wa kazi ambao ni rahisi kuingiza Kibarua mwengine, Tafadhali naomba anivute huko. Niko kwenye kipindi kigumu ever. NB: KAZI yoyote halali Niko tayari kuifanya. Makazi yangu ni DSM
  4. I

    JamiiForums Tanzania Michongo Town

    Uzima upo wanaJamvi? Naomba kwa yeyote aliye tayari, tuungane week ijayo kuzunguka viwandani kutafuta KAZI Mimi naishi Dar es salaam Sina kazi kwasasa, Nahitaji mwenye nia kama yangu tuunge nguvu twende tukasake Ugali. Amani iwe Nanyi
  5. I

    JamiiForums Tanzania Naomba Msaada wa Kibarua

    Ya kujiajiri kwasasa ni ngumu kwangu Ndugu. Sina pakuanzia kimtaji
  6. I

    JamiiForums Tanzania Naomba Msaada wa Kibarua

    Nipo dar es salaam. KAZI yoyote halali Mkuu Elimu yangu ni ya Sekondari
  7. I

    JamiiForums Tanzania Naomba Msaada wa Kibarua

    Shukrani Mkuu....Nimeweka akilini kila wazo lako. Nafatilia
  8. I

    JamiiForums Tanzania Naomba Msaada wa Kibarua

    Habari za pilika ndugu zangu. Nimerudi tena Ndugu zangu, bado sijapata kazi tangu niombe msaada humu ndani. Leo naomba Mnisaidie walau majina ya viwanda vitoavyo kazi kwa hapa Dar es salaam Ili niweze kujaribu bahati yangu. Hali ni mbaya Wakuu, nimebanwa na madeni kila kona. Naombeni msaada
  9. I

    JamiiForums Tanzania Naomba Msaada wa Kibarua

    Habari ya Usiku Ndugu yangu wa JF. Mimi ni kijana (me) nna Mke na mtoto Mmoja, naishi Dar es salaam. Ndugu yako/yenu nimeandamwa na Majukumu ya Kodi na pesa ya kulisha familia. Shime naomba kwa yeyote mwenye kuguswa anisaidie Kibarua Ili nipate kuondokana na Msongo wa Majukumu. La Kuna MTU...
  10. I

    JamiiForums Tanzania Naomba Msaada wa Kibarua

    Hodi na Salamu Members. Mimi ni kijana wa kiume (27), Elimu yangu ni ya Secondary. Nimekuja kwenu Kuomba Connection ya Kibarua cha kulipwa kwa siku, Nimeandamwa na msururu wa Madeni ya Kodi na kwa mangi. Nipo tayari kufanya Majukumu yoyote ilimradi yasikiuke Utu na sheria za nchi. Mungu...
Back
Top Bottom