My guts inaniambia INSIDER MAN ukiacha mtoto na wife (junior) basi mtoto mwingine ni wa Iryn na yule mtoto wa tatu uliyesema unamtegemea ni kutoka kwa Mary.....well the story will prove Me wrong or otherwise.
Hiyo ni tafsiri yako wala sina haja ya kusoma tena maana uzi wako unaeleweka, zingatia msitari niliokwambia huelewi chochote how it feels to be a man....simba kula mtu sio habari ila mtu kula simba ni habari kubwa! Hakuna mtu atashangaa mwanaume kuwa na wake hata 10 ila ikitokea mwanamke kaolewa...
Kutongoza ni moja ya majukumu yetu huwezi hate mtu anatimiza wajibu wake na upo na haki ya kusema Yes au NO the choice is yours.....you don't get how it feels to be a Man so nakukumbusha tulia tu baki huko huko kwenye lane yako.
Ni sawa na mwanaume aanze kuelezea how it feels kuwa period kwa mwanamke kitu ambacho hata hajui kinafanaje trust Me hujui kitu kuhusu wanaume so tulia stay on your lane.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.