point yangu ni hivi kwenye sayansi hakuna 'authority' au 'prophet',haijalishi wewe ni nani au equations zako zinavutia kiasi gani wengine wanaweza kutafuta makosa kwenye theory zako kitu ambacho kwenye imani za Mungu hakipo,kanisa limeshawalisha matango pori watu karne kwa karne
unapimaje hoja ya kisayansi ambayo si sahihi? huoni sayansi ni powerfull kwa sababu ina check and balance system inayoifanya ijikosoe hata yenyewe kitu ambacho kwenye hoja za Mungu hakipo?
I understand your point of view but if the universe is perfectly engineered(which I don't think is true), then the one who perfectly engineered it must be the work of a more advanced engineer right?
swali langu la msingi lilikuw wewe umefahamu uwepo wa Mungu nje ya hizo senses 5?
Subconscious mind una train wewe mwenyewe its just ni layer ya mind ambayo hauna direct access nayo,lakini information zinazo processiwa na subconsious mind umezipeleka mwenyewe na kama upo conscious enough...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.