Kweli kujua lugha zaidi ya moja kwa ufasaha ni jambo jema ila Naamini wapo wengi wanaojua kingereza hapa Africa mashariki hivyo nadhani sio sawa kusema lugha tu ndo ilombeba hasa ni juhudi zake binafsi.
Jadili mada sio vijembe vya wanawake wa buza kama hio comment nilioquote mara ya kwanza coz hio comment ili-base zaidi hapa👇
Na kwa hawa wenzako
https://www.jamiiforums.com/members/mjingamimi.314411/
https://www.jamiiforums.com/members/dingimtoto.348030/
Ishu ni watu kuelewa na kujibu kwa...
Asilimia kubwa ya Watu, na hapa namaanisha wewe pamoja na wenzako don't THINK hatua moja zaidi ya wanachokiskia mtaani.
Binadam mwenye timam lazima uhusishe akili japo kidogo kung'amua mambo.
Rationele ya hatua kama hii inatokana na tabia ya binadam (its a whole science) kwamba watu are less...
Watu wengine wana mawazo mafupi kweli, analogy ya sufuria, really?!! thats pedestrian. Hivi vitu ni vya kuangalia kwa mapana yake na yapo kimkakati zaidi. The possibilities are limitless!!
lakini wewe ambae mwisho wako wa matumizi ya internet ni social media na kuangalia series. Kana kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.