Kumekucha Arusha naona mwitikio mkubwa wa wafanyakazi je! Wamelazimishwa?(tetesi) na je kama ni Kwa hiari yap wanamategemeo Gani?
Sina hakika kama Kuna jipya maana Kwa mara ya kwanza mgeni rasmi(rais) kaingia mitini,makamo Hana maamuzi ya papo Kwa hapo ataahidi kumfikishia ujumbe rais(changa...
Hawakuwepo wale ni migambo,walipoanza kuigiza Kwa kurukaruka wakisema ni makomandoo nilizima runinga..Karne hii? Aibu hawaangaliagi Kwa wenzetu kama Kwa kiduku,china urusi na kwingineko?Kuna muda wanafanya kupandisha Mori kama morani wa kimasai,duh my kantre
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.