single hiyo vipi anakaa kwa Boss au? kama hakai kwa boss wewe unaangalia ufanyaji wakazi au maisha yake binafsi? mie natafuta kazi hiyo tatizo hivyo vigezo naomba kueleweshwa
Habari wadau wa JF
Elimu yangu kidato cha nne, nimesoma coz za Computer, uzoefu ninaowakutosha sababu nimefanya kazi za stationary kwamiaka mitatu sasa, office niliokua nikifanya kazi boss wangu kahama mkoa office kauza alowauzia wamebadiri biashara, hivyo kwa sasa cjapata kazi nyingine nipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.