Recent content by husna1992

  1. H

    Natafuta kazi za stationary

    Oops!! nilisahau mnisamehe, mile napatika hapa Dar Es Salaam Ubungo.
  2. H

    Anahitajika mfanyakazi wa stationary

    single hiyo vipi anakaa kwa Boss au? kama hakai kwa boss wewe unaangalia ufanyaji wakazi au maisha yake binafsi? mie natafuta kazi hiyo tatizo hivyo vigezo naomba kueleweshwa
  3. H

    Natafuta kazi za stationary

    Habari wadau wa JF Elimu yangu kidato cha nne, nimesoma coz za Computer, uzoefu ninaowakutosha sababu nimefanya kazi za stationary kwamiaka mitatu sasa, office niliokua nikifanya kazi boss wangu kahama mkoa office kauza alowauzia wamebadiri biashara, hivyo kwa sasa cjapata kazi nyingine nipo...
Back
Top Bottom