Hapo kwenye ubongo ndo kwenye shida pasipoandaliwa vizuri patabadilisha asali kuwa shubiri tamu yote ikaondoka nakuacha machungu kwa pande zote mbili so corporation ni kitu cha mcng
Mapenzi ni hisia Yanashirikisha kila kiungo cha
Mwili wako ubongo na vingine vyote sasa hapo kwenye ubongo kwa sisi wanaume kwenye shida pasipo andaliwa vizuri
Tambua kuwa mimi ninapopee mapema na hamu ya tendo kukata sikwamba nimerizika na mbaya zaidi roho itaniuma sbb najua kuwa hajarizika hapo ndo pabaya zaidi so tushirikiane ili kuzuia hii kitu kila mmoja atoke akiwa ameridhika
Sijasema you are not responsible for her happiness especially on bed ila ushirikiano ni muhimu and she is also responsible for my happiness on especially on bed na ndo maana nikamuoa
Sio kila kitu wewe si mwanaume bhana hatutafika ushirikiano ni kitu cha msingi sana otherwise utahisi mwanaume wako anatoka nje na ndo maana hamu na wewe hana tena kama amekukinai watu wanalamba mpaka nyayo bhana wewe ushawah kufanyiwa na mwanamke wako mafundi hao
Just imagine umepee halafu amelala kisha mwanamke anakuangalia tu kana kwamba hajui chakufanya ili jogoo ainuke na mambo yaendelee wakati hata gari la manually likizima lasukumwa nakuwaka japokuwa battery low halistart lakin linafosiwa na kuwaka ndo utundu wenyewe huo sasa ingekuwa automatic pia...
So matatizo au ubinafsi hauko kwetu tu hata wao wabinafsi wakutaka wewe ufanye kila kitu coz wewe ni mwanaume ujiandae umuandae yeye pia itawezekana vipi?
Wanawake wanachangia kiasi kikubwa kwa kutokuwa wabunifu kumbuka kuwa sisi ndo head of the states so vichwa vyetu vinamawazo lukuki ya kimaisha na mambo mbalimbali ya kipesa na mengneyo so tunahitaji ushirikiano wao ili tuweze kufanya vizuri ukikutana na mwanamke mtundu anayejua majukumu yake...
Mfano kuna jamaa alishawahi kunilalamikia kuwa akikutana na mchumba wake anacheza chini ya kiwango lkn akikutana na kimada wa nje anakuwa kama aliyebarehe juzi nikamuuliza tatizo nn akasema ni ushirikiano hafifu uliopo kwa mchumba ake na pia hakuna utundu so kuna sababisha akiingia tu hachukuwi...
Yeah kila mmoja anatakiwa atambue nafasi yakena jukumu lake kitandani kila mmoja amuhamasishe mwenzie kuhakiksha mawazo yke yanakuwa pale na hatimae kumpa kila anachostahili kupewa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.