Recent content by hunie

  1. H

    Barua ya Wazi kwa Rais Magufuli, kutoka kwa wafanyakazi wa NIDA

    Mbaya zaidi walivumilia miezi mi3 bila mshahara wakiambiwa kuwa mamlaka inatafuta hela imagine hii issue inetokea january miezi yenye shida na hela.. halafu wamewakata kisiasa
  2. H

    Barua ya Wazi kwa Rais Magufuli, kutoka kwa wafanyakazi wa NIDA

    Ukishaanza kujibishana na mtu anaeandika VIRAZA na asie jua matumizi H kazi inakua ngumu kdg.. msamehe
  3. H

    Barua ya Wazi kwa Rais Magufuli, kutoka kwa wafanyakazi wa NIDA

    Kuna muda watu wanakosa hoja ba kutangaza chuki.. one step at a time. Huyo anaesema hivyo muulize angekua yuko nyumban then anaambiwa embu peleka CV sehem flan angekataa na kuanza kuuliza imetangazwa wapi? Hio barua yao watu wanaacha kuijadili wanajadili mimba na tangazo la kazi
  4. H

    Barua ya Wazi kwa Rais Magufuli, kutoka kwa wafanyakazi wa NIDA

    Hujui kitu soma kidg HUTAKUFA UKIFUTA UJINGA NIDA KYLIKUA NA WAFANYAKAZI WA AINA MBILI WA KUDUMU(AMBAO NDO ZOEZI LA KUAJIRI LILIKUA LIMEANZA NA WENGI HATA MIEZI MI 5 HAWANA) NA WA MUDA.. NA WOTE WALIKUA WANAFANYA KAZI SAWA NA ZA AINA MOJA HATA HAO WALIOKUKWAZA WALIKUA EITHER WA KUDUMU AU WA...
  5. H

    Barua ya Wazi kwa Rais Magufuli, kutoka kwa wafanyakazi wa NIDA

    LABDA..ila wananchi na nyie mnakera sana WAKATI MWINGINE SIKATAI KUNA CUSTOMER CARES WENGINE HAJIELWI ILA MTI ANASAVE WATU 100 MIN KWA SIKU KILA MTU ANAKUJA NA STRESS ZAKE SASA USIOMBEE UKUTANE NA MTEJA MWENYE NAMBA YA MENEJA HAPO NDO ANAWEZA AKAJA KUKUTUKANA.. NIDA INA NETWORK MBOVU MBOVU MBOVU...
  6. H

    Barua ya Wazi kwa Rais Magufuli, kutoka kwa wafanyakazi wa NIDA

    Flora msofe ulisaka mimba kwa mtu wa NIDA ukakosa au? Yaan Mimba za NIDA zinakukera hahahah KUFWA FOR THEM(in lemutuz voice) huna hoja yenye mashikk umekazania Mimba Mimba.. yes ni watu wazima,wenye maamuzi yao na waliona Muda na wakati wa kuzaa umefika ulitaka wakazitoe? FYI ile ni jamii ya...
  7. H

    Barua ya Wazi kwa Rais Magufuli, kutoka kwa wafanyakazi wa NIDA

    Wanachokitaka hawa watu sio nafasi kazini bali ni madai yao ya msingi waenselee na maisha.. hao waliobaki wanahali ngumu kuliko waliosimamishwa
  8. H

    Barua ya Wazi kwa Rais Magufuli, kutoka kwa wafanyakazi wa NIDA

    KUMLAUMI.MFANYAKAZI WA CHINI KWA USUMBUFU WA TARATIBU ZA UONGOZI NI KAMA KUMLAUMU HOUSEGIRL KWA KOSA LA MWENYE NYUMBA KUJENGA MABONDENI...
  9. H

    Barua ya Wazi kwa Rais Magufuli, kutoka kwa wafanyakazi wa NIDA

    ALIEIUA NIDA NI KAIMU MKURUGENZI WA SASA! TANGU AMEINGIA NA AHADI ZAKE ZA KUZALISHA VITAMBULISHO VINGI KWA SIKU ULIZENI NDANI YA MWEZI KAZALISHA VINGAPI? MAMLAKA IMEKUA SEHEM YA KUTAFTIA SIFA, MNAWANYANYASA HAWA VIBARUA KWA SABABU MNAJUA WANA MAZITO YENU? MMEWAPELEKA NGUMU MKAWALAZA MAZINGIRA...
  10. H

    Barua ya Wazi kwa Rais Magufuli, kutoka kwa wafanyakazi wa NIDA

    Kuna muda ifike mjue hata maana ya comment zenu.. kutangazwa kwa nafasi za kazi kunahusiana nin na kutokuliowa madai yao? jiulize je wanadai? je wanamikataba?mikataba knasemaje? Sheria ya kusimamishwa inasemaje?waliokula hizo hela ni wakina nani?
Back
Top Bottom