Habari za majukumu wapendwa wana JF,
Mimi nasumbuliwa na fangasi (kama utangotango/mba) katikati ya mapaja, kulikopelekea sehemu hiyo kuwa nyeusi sana.
Fangasi hizo haziwashi bali zinakuwa kama unga unga, yaani kama ngozi inababuka, lakini haiwashi wala kutoa harufu.
Moderators kama naruhusiwa...
Natumai kwa neema ya Mungu nyote mu wazima.
Nimekuwa msomaji wa JF kwa miaka 4 sasa bila kujiunga. Leo nimeamua kujiunga ili noweze kuchangia mawazo yangu na uelewa wangu kwenye mada mbalimbali kadri Mwenyezi Mungu atakavyoniongoza.
Naomba ushirikiano wenu wanajukwaa.
Mungu awabariki sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.