Ndugu zangu naomba kujua utaratibu pale unapohitaji Msaada wa kisheria kutoka chama cha Mawakili " TLS" " yaani unapohitaji udhamini wa Wakili " .
ninapohitaji udhamini wa wakili ninamaana kwamba sina uwezo wa kumlipa wakili na ndio maana nahitaji kudhaminiwa.
Ahsanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.