Recent content by HS CODE

  1. HS CODE

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Siku nyingi sija comment humu, lakini nina kaujumbe ambako wengi mumekazoea na mnakachukulia poa, na bado sitoacha kukasema tena na tena. “Kila mmoja wetu humu, bila kujali anapitia magumu kiasi gani, siku yake ya kuyavuka ipo na inakuja.” Mtapata ajira, tena kwa wakati sahihi. Sio wakati ambao...
  2. HS CODE

    Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Mungu awafungulie milango, watafutaji wote. Aaaaaamiiin.
  3. HS CODE

    Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Hongera! Uzi mzuri sana.
  4. HS CODE

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mbona mnanitisha kamanda, sijaingia JF muda sana, naona napokea pongezi ila sijui ni za nini hebu nifungulie code.
  5. HS CODE

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kwanini nimetisha mkuu?
  6. HS CODE

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kamanda huwa hakuna muda maalumu, inategemea na watakavyoamka.
  7. HS CODE

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    [emoji3][emoji2][emoji1][emoji16][emoji28][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  8. HS CODE

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hahahaha! Duh! Prof huwa unanivunja mbavu sana na comments zako.
  9. HS CODE

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kamanda msomi, naomba utupe somo kidogo. Jamaa wa MD wanakunja ngapi kwa mwezi?
  10. HS CODE

    Natafuta Chumba cha 100,000/miezi mitatu

    Hongera! Uzi mzuri sana.
  11. HS CODE

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Nimekuelewa boss wangu.
  12. HS CODE

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kamanda wewe umeshakuwa mtumishi wa umma, mbona umeanza mapema sana kuwatukana utakaowatumikia?
  13. HS CODE

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kitu kikubwa naweza nikatoa ushuhuda hata mahakamani ni kwamba ukiwa mchangiaji kwa kusaidia watu kwa namna yoyote kwenye huu uzi, uwezekano wa Mungu kusikia maombi yako ya placement unaongezeka. Huu uzi unabaraka ndugu zangu.
  14. HS CODE

    Ulifanya nini au unafanya nini kupambana na kutokuwa na kazi au ajira ili maisha yaendelee?

    Officer kitengo cha michezo ya bahati nasibu hongera! Mchango wenu kwenye hili taifa ni mkubwa sana.
  15. HS CODE

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Prof. Kwa macho yangu nimeshuhudia watu wameandaa party ya ghafla ili kusherehekea kuingia kwenye mzinga wa asali. Maana TRA ni mzinga wenyewe, kwa sababu kazi ya hawa maafisa ni kucheza na nyuki moja kwa moja, na sio pipa la asali. Japo dogo langu aliambiwa irrelevant qualifications pamoja...
Back
Top Bottom