an
anaetaka kuoelewa aje kwangu kazi yangu ni msimamizi wa kampuni ya ulinzi yaani kk security t limited a Gardaworld company umri miaka 26 nina mtoto mmoja dini mkristo karibu mke mtarajiwa
pamoja na nahayo dada yangu namna wanavvyojiweka ndugu zetu kuolewa ni ngumu hata mimi ukiniambia nikamuoe wema itakuwa ngumu kwasababu kila mwanamume unajua kwamba katembea nanani sasa ukimuoa hamna heshima ndani ya nyumba
sema jamani wanawake tukishaoa mnapasua kichwa tatizo sisi wanaume tunapenda kujionesha kwa ndugu na marafiki tunaacha wanawake wenye tabia njema wenye sura mbaya na shepu mbaya tunaenda kuoa wanawake wenye sura nzuri shepu nzuri tabia mbaya baada ya ndoa anaaigiza kama malaika sasa ngoja ipite...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.