Mpango mzima nikuikataa rasimu ya katiba, bila hivyo watanzania tutazidi kuchezewa kama mazuzu na familia za watawala..1. Unafiki kuhusu aina gani ipi ya muungano tuufuate, nimewasikia watu wenye busara zao, wakishindana kwa jazba mate yakiwatoka, ni aina ipi ya serikali tuufuate? Jibu la watu...