Habari wana Jamii forums.
Mimi ni mwanaume,naish Dar es salaam nahitaji mke wa kuoa mwenye sifa hizi:
Elimu degree ya pili,mrefu kiasi,mnene kiasi,rangi yoyote,anaeishi Tanzania, umri 29-37,mwenye sifa hizo ni PM tupeane mawasiliano tayari kwa maandalizi.
Karibu sana tuanze maisha.