Vifurushi vya Voda, vinavyoandikwa na kile unachotumia haviendani, Haiwezekani ndani ya 3GB kwa kuperuzi kwenye JF ukaimaliza ndani ya Dakika 10! Vifurushi vilivyopo sio halisia unavyonunua kwenye mfumo
Sent using Jamii Forums mobile app
Habar wakuu
Samahani naomba kujua fursa za kazi za kimtandao( Online jobs) mwenye ideas na mzoefu wa fursa hizi tufundishane ili tupeane ajira! Mm niko interested Sana na hizo $ mtandaoni ila sijui chochote ila wenzetu Kenya ndo ajira zao! Tusaidiane kwa hili
Ahsanteni kwa utayari wenu
Sent...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.