Recent content by hluoga

  1. H

    Nahitaji kujiajiri kwenye kilimo

    Ukipata muda karibu Karagwe mwezi wa 11 & 12 uone Chia ikiwa shambani pia uongee na wakulima, usikie shuhuda kutoka kwao. Ukihitaji mbegu utaipata kama nilivyo sema Sh 5,000/= kwa kilo. Sharti ununue kwa lengo la kuzalisha ili tuongeze idadi ya wakulima. Wasiliana nami 0787452884, nisipo kuwa...
  2. H

    Nahitaji kujiajiri kwenye kilimo

    Kilimo kina lips sana, hapa wilayani Karagwe, mkoa wa Kagera tunalima zao la Chia, tulipata mbegu isiyo zidi kilo 5 miaka minne iliyo pita, lakini kutokana na matokeo mazuri mwaka huu 2018 tumepata kiasi cha 80MT. Solo tunalo kubwa sana,linazidi uzalishaji, solo lili hitaji walau 250MT lakini...
Back
Top Bottom