UTANGULIZI:
Navipongeza vyombo vyote vya Habari ambavyo vinaendelea kuwa wabunifu katika kurusha matangazo/maudhui mbalimbali ili kuhabarisha jamii kwa kujumuisha mtindo wa tafsiri kwa ALAMA ili iwe rahisi kueleweka kwa watu wasio sikia vizuri au wasiosikia kabisa.
KIELELEZO: TBC wakiendesha...
habari
kubadili
kusikia
maneno
mitandaoni
nyuma
sauti
teknolojia
televisheni
tumieni
ulemavu
ulemavu wa kusikia
vyombo
vyombo vya habari
watu wenye ulemavu
wenye
UTANGULIZI:
Hospitali Maalum ni Hospitali zinazotoa huduma ya kimatibabu na kiuguzi kwa ugonjwa au tatizo fulani pekee mfano ugonjwa wa moyo, saratani, macho, akili, pumu n.k. Nchini Tanzania tunazo Hospitali Maalum 5 tu za Kitaifa kama vile Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete(JKCI) yenye kutibu...
Ahsante kwa kuelewa wazo.
Ni kweli kabisa kimaelezo kulielezea ni refu, nimeshindwa kufanya hivyo kutokana na limit ya maneno ambayo yasizidi 1000, hapa kuna jumla ya maneno 968.
Ndio maana nimegusia maeneo muhimu tu kama faida, hasara na ushauri endapo huu mfumo ukitaka kutekelezwa.
Hata...
Huu mfumo utakuwa unaendeshwa na watu, tena wa Full time ambao watakuwa wafanyakazi kazi kama wafanyakazi wengine wa kawaida. Au kwa lugha rahisi hii itakuwa ni Idara/Taasisi ya Udhibiti wa Mifumo ya TEHAMA.
Mfumo utakuwa na sifa za automatic za kunasa matukio yasiyofaa kutoka kwenye mifumo ya...
UTANGULIZI:
Mfumo wa Pamoja wa TEHAMA wa udhibiti wa mifumo ya TEHAMA (General Intergrated Control of IT systems) ni mfumo wa pamoja utakaosimamia na kudhibiti matumizi ya mifumo ya TEHAMA katika taasisi au mashirika ya umma kwenye utendaji wa shughuli zao. Mifumo hii itakayodhibitiwa naweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.