a new ORIGINAL, HTC one vx inauzwa
memory 8gb
size 4.6
ram 1 gb
camera 8mp
betre long hrs
bei 220k tu
0763369695
Utapata kila kitu chake earphone, USB and charger yake
mim naona line ikiwa mpya hata km ina jina la mtu haina shida ila kam mtu alikuwa anatumia hapo inabd muende shop husika mkakabidhine ...mm natumia line ya tigo na mpes nina kama miez saba ss hv nilinunua kwa huyu dada hazijawah kusumbua cha muhim zifanye kazi tu
kuhusu kua sub agent till...
hayo yote mm nayajua nanimeshayapitia hizo shop zote nilienda nikajaza form nimesubr huu mwez wa tatu bila mafanikio nikaamua kuchukua kwa dellers naendelea na kazi ..so hayo ya lessen bra bra ysnajulikana yote .. anyway tusimjazie mwenzetu msg kweny tangazo lake coz inakuw si ustaharabu ...
bora umempa jibu zuri ...line za wap bure? mm binafsi toka nimeambiw nisubr huko shop two months now mpk nimeamua kuchukua tu kwa watu ..hlf lzm uwe na mtaji mrefu bado usumbuliwe tena ....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.