Recent content by Hilali Sadick Mussa

  1. H

    SoC04 Wazo bunifu kwa maendeleo ya baadhi ya Wizara katika Serikali ya Tanzania

    1. Ninalo wazo bunifu, Ila mwenzenu nahofu, Wapo wenye nia chafu, Wanoweza nizulia. 2. Ninaposhusha usuli, Uhusuo serikali, Wenye hiba na adili, Wao wataupindua. 3. Watazua yaso mana, Ambayo sijayanena, Hivyo nawaomba sana, Muje nihahakikishia. 4. Ikiwa tatoa wazo, Lililokidhi vigezo, Mtakuwa...
Back
Top Bottom