Recent content by HIKARI

  1. H

    Tanzania utakuta mtu ana elimu nzuri tu lakini bado anawachukia matajiri hataki wawekeze nchini na akiambiwa yeye awekeze hana kitu

    Pengine we nawe ni mwizi fisadi fulani hivi. Unataka hawa washenzi wachache wanaoiba rasilmali za taifa hili tuwakalie kimya eti wana msingi wa muda mrefu!
  2. H

    Jaji Mkuu nini kinakwamisha kusikiliza maombi ya serikali kwenye kesi ya Lissu. Mbele ya camera uko safi, nyuma ya Camera anajua shetani

    Huyo jaji mkuu ni chawa wa samia kama chawa wengine kina chonde & co. Wanadhalilisha sana taaluma ya sheria.
  3. H

    Serikali yafafanua kauli ya Rais Samia kuhusu Bei za Mafuta

    'Elimu mbalimbali alilingamisha bei petrol/diesel kati ya Tanzania na America. Girishoni kaja na bei ya mafuta ghafi huko duniani. Elimu .. alizungumzia kipimo cha lita, Girishoni anazungumzia kipimo cha tani. Wtf is this!
  4. H

    PostGE2025 Jaji Chande: Tume ya Matukio ya Oktoba 29 inajitegemea kwa kila kitu, hatuna dalali

    Kuna tofauti kubwa sana kati ya tume iliyo huru na hii tume ya chande anayoiita tume huru. Tume iliyoundwa na mtuhumiwa, (serikali) na inajumuisha watu waliotumikia serikali hiyo hiyo hivi karibuni haiwezi kuwa huru dhidi ya serikali. Mfano Stergomena Tax juzi tu alikuwa waziri wa ulinzi, na...
  5. H

    Mtumishi wa Umma anayedaiwa kuwa mwadilifu anapata wapi uwezo wa kujenga Hotel ya Namna hii?

    Sugu tunajua ni msaii na mfanya biashara kabla ya kuingi kwenye siasa. Tuambie Likuvi alipata wapi pesa za kujenga hiyo hotel?
  6. H

    Eti "Nimevipiga vita vilivyo vizuri". William Lukuvi kapigana vita gani Vizuri? Nisaidieni

    Alisema anamshukuru samia kwa kuwezesha O29 kuwa na uchaguzi wa amani na utulivu.
  7. H

    Tuandae muongozo wa namna ya kuongoza Taifa pale ambapo Taifa litakapopoteza "Think Tanks"

    Mada kama hii utashangaa maatahira kama tlatlaa nao wanajitokeza
  8. H

    Kufungiwa JamiiForums: Mahakama Kuu yayatupilia mbali mapingamizi ya Jamhuri. Kesi rasmi kuendelea

    Unawasingizia. Binafsi naamini mahakama zinafuata maelekezo toka juu.
  9. H

    Kilio na sala ya Lissu toka Ukonga: Watanzania mmelala? Mimi sijalala

    Amekuambia ameshindwa kuvumilia?
  10. H

    Kilio na sala ya Lissu toka Ukonga: Watanzania mmelala? Mimi sijalala

    Yeye amebobea kwenye sheria zaidi ya wewe
  11. H

    Uongo wa Serikali ya awamu ya 5 chini ya Dkt. John Pombe Magufuli utawatesa sana Marais watakaofuata na Samia akiwa miongoni

    Mi nakubaliana na wewe alikuwa great - the type of Hitler, Idd Amin and the like.
  12. H

    Uongo wa Serikali ya awamu ya 5 chini ya Dkt. John Pombe Magufuli utawatesa sana Marais watakaofuata na Samia akiwa miongoni

    Hivi Selemani Jaffo cku iz ameenda wapi? Aliwahi kusema Tanzania imejenga viwanda 28,000
  13. H

    TANZIA Mwenyekiti wa CCM Itilima afariki dunia

    Kifo ni kifo tu.
  14. H

    Kauli mbiu ya Rais gani iliwahi kufanikiwa hata kidogo tu?

    Alipora kwa asilimia 98!
Back
Top Bottom