Pengine we nawe ni mwizi fisadi fulani hivi. Unataka hawa washenzi wachache wanaoiba rasilmali za taifa hili tuwakalie kimya eti wana msingi wa muda mrefu!
'Elimu mbalimbali alilingamisha bei petrol/diesel kati ya Tanzania na America. Girishoni kaja na bei ya mafuta ghafi huko duniani. Elimu .. alizungumzia kipimo cha lita, Girishoni anazungumzia kipimo cha tani. Wtf is this!
Kuna tofauti kubwa sana kati ya tume iliyo huru na hii tume ya chande anayoiita tume huru. Tume iliyoundwa na mtuhumiwa, (serikali) na inajumuisha watu waliotumikia serikali hiyo hiyo hivi karibuni haiwezi kuwa huru dhidi ya serikali. Mfano Stergomena Tax juzi tu alikuwa waziri wa ulinzi, na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.