Kwani tangu mwanzo yeye mwenyewe aliposema vijana walipewa pesa, na akasema pia kuna vijana wa nchi jirani walihusika, je, yeye si alijua kabisa nani walitoa hizo pesa? Je, hao vijana toka nje ya nchi kwanini hakuwakamata? Ukiwa miwongo muwongo inakupasa uwe na kumbukumbu nzuri.
Akumbushwe kwamba yeye ni katibu wa fedha wa ccm, sio chadema.
Hivi yale mabilioni ccm walichangiwa na matajiri wakwepa kodi amashameita cag akayakague?
Hizo 30,000 nani alizitoa? Zilipitia benki ipi? Mnasingizia vijana walipewa fedha, mlisema wageni waliwashawishi etc. Je, yuko wapi mgeni hata mmoja alikamatwa kuhusika ktk maandamano yale? Uko wai ushahidi wa vijana kupewa 30,000?
Tunataka waliohusika kutoa amri na waliotekeleza mauaji...
Ukiwa na vinasaba na ccm, hata ufanye biashara ya bangi au madawa mengine haramu hakuna atakae kuwaza. Hawa wafanya biashara wakubwa ni wakwepa kodi wakubwa pia na ndio wanashirikiana na ccm kulinda kile wao wanaita amani, il hawataki kabisa kusikia habari ya haki au katiba mpya nzuri.
Ccm is a...
Huyo rais unayemsemea hapa, kama hahusiki na mauaji yale, umeona wapi akiwa na nia ya kuwawajibisha wauwaji? Au wewe unataka tuwawajibishe vipi kama rais anawakingia kifua?
Hilo sio jukumu la mbunge. Hii propaganda kwamba mbunge analeta maendele kwa staili unayosema hata magufuli aliitumia sana kuwaaminisha 'wajinga' kuwa wabunge wavyama pinzani ni kikwazo cha maendeleo. Kazi ya msingi ya mbunge ni kuwasemea wananchi. Kutekeleza miradi ya maendeleo ni jukumu la...
Cheo ni dhamana, tena ya muda mfupi. Mungu anaweza kufanya lolote- yuko wapi magfuli na kiburi chake mpaka kujiita jiwe? Au zama zibadilike yuko wapi Tulia akson aliyekuwa mungu mdogo katilka lile bunge haramu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.