Recent content by HIKARI

  1. H

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Tumeamua kuwashirikisha wenzetu kutoka Uganda na Namibia kupata muono mpana. Tume inakwenda kutafuta nani walichochea, waliotoa fedha

    Kwani tangu mwanzo yeye mwenyewe aliposema vijana walipewa pesa, na akasema pia kuna vijana wa nchi jirani walihusika, je, yeye si alijua kabisa nani walitoa hizo pesa? Je, hao vijana toka nje ya nchi kwanini hakuwakamata? Ukiwa miwongo muwongo inakupasa uwe na kumbukumbu nzuri.
  2. H

    JamiiForums Tanzania Botswana na Namibia ni nchi tajiri zaidi barai Afrika, msikate tamaa tunaweza!

    Acha kujilisha upepo.
  3. H

    JamiiForums Tanzania Katibu wa Idara ya Fedha na Uchumi CCM amtaka CAG kufanya ukaguzi wa fedha za Tone tone za Chadema

    Akumbushwe kwamba yeye ni katibu wa fedha wa ccm, sio chadema. Hivi yale mabilioni ccm walichangiwa na matajiri wakwepa kodi amashameita cag akayakague?
  4. H

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Watanzania hawahitaji maridhiano, nani analazimisha yawepo kwa faida ya nani?

    Hizo 30,000 nani alizitoa? Zilipitia benki ipi? Mnasingizia vijana walipewa fedha, mlisema wageni waliwashawishi etc. Je, yuko wapi mgeni hata mmoja alikamatwa kuhusika ktk maandamano yale? Uko wai ushahidi wa vijana kupewa 30,000? Tunataka waliohusika kutoa amri na waliotekeleza mauaji...
  5. H

    JamiiForums Tanzania Ni chama gani cha siasa humu nchini wakiona mgombea urais wa CCM anakubalika hadi ndani ya chama chao lazima watafute kisingizio cha kususia uchaguzi?

    Mada nyingine ni za ovyo kabisa. Mtu unakuwa chawa mpaka uko tayari hata kujisiriba kinyesi!
  6. H

    JamiiForums Tanzania Ni member gani mwana CCM angalau anakubalika kwa michango yake hapa JF bila kuegemea Upande?

    Hawa ni mataahira kabisa
  7. H

    JamiiForums Tanzania Je, mtu kujiunga CCM ni ujinga? Je, wana CCM ni wajinga? Je, watanzania wanaoichagua CCM, kila uchao ni wajinga? Its not fair

    👆 Kuamini maneno haya ndio ujinga wenyewe.
  8. H

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tuorodheshei hapa mikoa kondoo yenye watiifu ambayo ilikuwa imepoa 29 October

    Kuhusu Kilimanjaro, kule Rombo mambo yalikuwa moto. Hata bomang'ombe hapakuwa shwari.
  9. H

    JamiiForums Tanzania Prof. Kitila: Tanzania haitayumbishwa kwa sababu ya mabeberu kutunyima misaada, labda watafute vikwazo vingine

    Hawa ndio wale maprofedha wa jalalani.
  10. H

    JamiiForums Tanzania Ukistaajabia ya Mussa utayaona ya Mabilionea wa Kitanzania wakichangia Bilioni 10 kwenye Siasa, lakini siyo misikitini na kwa yatima

    Ukiwa na vinasaba na ccm, hata ufanye biashara ya bangi au madawa mengine haramu hakuna atakae kuwaza. Hawa wafanya biashara wakubwa ni wakwepa kodi wakubwa pia na ndio wanashirikiana na ccm kulinda kile wao wanaita amani, il hawataki kabisa kusikia habari ya haki au katiba mpya nzuri. Ccm is a...
  11. H

    JamiiForums Tanzania Rais hatakiwi kulaumiwa kwa mauaji ya Oktoba 29

    Huyo rais unayemsemea hapa, kama hahusiki na mauaji yale, umeona wapi akiwa na nia ya kuwawajibisha wauwaji? Au wewe unataka tuwawajibishe vipi kama rais anawakingia kifua?
  12. H

    JamiiForums Tanzania Doyo: RC na DC wanapewa gari la Milioni 200 wanaenda wapi?, Miaka 52 tangu nizaliwe sijaona maji Handeni

    Hilo sio jukumu la mbunge. Hii propaganda kwamba mbunge analeta maendele kwa staili unayosema hata magufuli aliitumia sana kuwaaminisha 'wajinga' kuwa wabunge wavyama pinzani ni kikwazo cha maendeleo. Kazi ya msingi ya mbunge ni kuwasemea wananchi. Kutekeleza miradi ya maendeleo ni jukumu la...
  13. H

    JamiiForums Tanzania Katambi: Tanzania hakuna Ugaidi, kunaweza kuwa na viashiria

    Cheo ni dhamana, tena ya muda mfupi. Mungu anaweza kufanya lolote- yuko wapi magfuli na kiburi chake mpaka kujiita jiwe? Au zama zibadilike yuko wapi Tulia akson aliyekuwa mungu mdogo katilka lile bunge haramu?
  14. H

    JamiiForums Tanzania CCM wanataka maridhiano bila walioteka na kuuwa kujulikana na kuomba radhi. Je, wako sahihi?

    Swala muhimu nu uwakibikaji. Swala kuomba radhi halipo.
Back
Top Bottom