Recent content by HIKARI

  1. H

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Maduhu: Nilikagua Hati za Mashtaka 1,651, sikukuta Mtu kutoka Nje ya Nchi, Matukio ya Oktoba 29

    Wewe ni mbumbumbu kipeo cha pili. Kwa uelewa wako angekuwepo raia wa kigeni angepelekwa mahakama ipi?
  2. H

    JamiiForums Tanzania Joshua Nassari: Wizara inasema Watalii wamefikia Milioni 5.3, Mtu anakuja kununua vitunguu kutoka Kenya, naye anaambiwa ni mtalii

    Unanikumbusha vile viwonder vya maguful. Juzi kati nikamsikia jafo akiwa ndani ya lori lililokuwa linaendeshwa na mwanamke mmoja akisema 'amejenga viwonder elf 28'.
  3. H

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Vijana Wadanganywa Ghasia za Uchaguzi 2025

    Hivi wanaoleta uharo kama huu humu jamvini wanalipwa nini, kiasi gani?
  4. H

    JamiiForums Tanzania Warioba, Chadema na Njama za Oktoba 29

    Unasema jaji Warioba alifanya vikao na viongozi wa chadema akiwapo Tundu Lissu- hivi vikao vilifanyikia kule mahabu aliko Lissu? Au kule mahabusu alikokuwa John Heche? Je, hivyo vikao vimekuja kubainika baada tu ya Warioba kutoa maoni yake kuhusu ile tume iliyoundwa na mtuhumiwa no. 1?
  5. H

    JamiiForums Tanzania Warioba, Chadema na Njama za Oktoba 29

    Unasema jaji Warioba alifanya vikao na viongozi wa chadema akiwapo Tundu Lissu- hivi vikao vilifanyikia kulae mahabu aliko Lissu? Au kule mahabu alikokuwa John Heche? Je, hivyo vikao vimekuja kubainika baada tu ya Warioba kutoa maoni yake kuhusu ile tume iliyoundwa na mtuhumiwa no. 1?
  6. H

    JamiiForums Tanzania Katiba mpya haina maana kwenye watu wenye fikra za zamani za Giza/potofu

    Sawa kabisa. Lakini maelezo yako ya awali ni kana kwamba hatuhitaji katiba mpya nzuri. Katiba mpya, fikra mpya, viende kwa pamoja.
  7. H

    JamiiForums Tanzania Katiba mpya haina maana kwenye watu wenye fikra za zamani za Giza/potofu

    Kwa hayo yote unahitimisha kwamba hatuhitaji katiba ilyo nzuri? Au una maana gani?
  8. H

    JamiiForums Tanzania Tuambie nikwa vipi Tanzania inaweza kujiendesha bila madeni au Utegemezi

    Haya yataweza tutakapo mzika huyu mkoloni- ccm.
  9. H

    JamiiForums Tanzania Je jaji Chade kajipandisha heshima au kajishushia heshima?

    Ogopa m2 anayeweza kujigeuza dekio la choo cha stendi.
  10. H

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wakisusia maridhiano watasusia na vikao vya kuandika Katiba Mpya?

    Ccm ni genge la majinga. Wanaweza kuchukua ile katiba ya 77 wakaipa jina KATIBA MPYA. C uliona ile tume ya uchaguzi waliibatiza TUME HURU YA UCHAGUZI!
  11. H

    JamiiForums Tanzania Tanzania: Baadhi tupunguze "Ujuaji" Usio na "Tija"

    ... delaying tactics kujaribu kuwasahalisha unyama waliotenda. Tumeimeshakula, wanataka kuunda tena tume nyingine na nyingine indefinitely
  12. H

    JamiiForums Tanzania Tanzania: Baadhi tupunguze "Ujuaji" Usio na "Tija"

    Wewe kweli ni mjinga. Tanzania yenye idara ya uusalama wa taifa, polisi, majeshi, halafu watu walipe vijana sehemu mbalmbali za nchi eti kufanya vurugu, halafu hakuna mlipaji hata mmoja mliyemkamata! Sisi sio wajinga hivo.
  13. H

    JamiiForums Tanzania Eti Kenya wana Nyambizi 150 wakati Tanzania kuna nyambizi 0?

    Mawazo ya lumumba hayo
  14. H

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 BAKWATA wafanya Dua kuiombea Tume ya Matukio ya Oktoba 29

    Huwa najiuliza: hakuna kabisa namna ya kutengeneza orodha ya watu wote waliouliwa O29? Ni kweli watu hawajazika wapendwa wao, lakini hata akija Trump hapa kutusaidia, atauliza hizo maiti zilizopotezwa ni za akina nani? Je, kaburi la haiki lilipo tumeshindwa kabisa kuonyesha mashirika ya haki za...
  15. H

    JamiiForums Tanzania Tanzania utakuta mtu ana elimu nzuri tu lakini bado anawachukia matajiri hataki wawekeze nchini na akiambiwa yeye awekeze hana kitu

    Pengine we nawe ni mwizi fisadi fulani hivi. Unataka hawa washenzi wachache wanaoiba rasilmali za taifa hili tuwakalie kimya eti wana msingi wa muda mrefu!
Back
Top Bottom