Unanikumbusha vile viwonder vya maguful. Juzi kati nikamsikia jafo akiwa ndani ya lori lililokuwa linaendeshwa na mwanamke mmoja akisema 'amejenga viwonder elf 28'.
Unasema jaji Warioba alifanya vikao na viongozi wa chadema akiwapo Tundu Lissu- hivi vikao vilifanyikia kule mahabu aliko Lissu? Au kule mahabusu alikokuwa John Heche? Je, hivyo vikao vimekuja kubainika baada tu ya Warioba kutoa maoni yake kuhusu ile tume iliyoundwa na mtuhumiwa no. 1?
Unasema jaji Warioba alifanya vikao na viongozi wa chadema akiwapo Tundu Lissu- hivi vikao vilifanyikia kulae mahabu aliko Lissu? Au kule mahabu alikokuwa John Heche? Je, hivyo vikao vimekuja kubainika baada tu ya Warioba kutoa maoni yake kuhusu ile tume iliyoundwa na mtuhumiwa no. 1?
Wewe kweli ni mjinga. Tanzania yenye idara ya uusalama wa taifa, polisi, majeshi, halafu watu walipe vijana sehemu mbalmbali za nchi eti kufanya vurugu, halafu hakuna mlipaji hata mmoja mliyemkamata! Sisi sio wajinga hivo.
Huwa najiuliza: hakuna kabisa namna ya kutengeneza orodha ya watu wote waliouliwa O29? Ni kweli watu hawajazika wapendwa wao, lakini hata akija Trump hapa kutusaidia, atauliza hizo maiti zilizopotezwa ni za akina nani? Je, kaburi la haiki lilipo tumeshindwa kabisa kuonyesha mashirika ya haki za...
Pengine we nawe ni mwizi fisadi fulani hivi. Unataka hawa washenzi wachache wanaoiba rasilmali za taifa hili tuwakalie kimya eti wana msingi wa muda mrefu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.