Hicho kikindi cha uasi alichotengeneza Lissu kiko wapi? Peleka ushahidi kwa akina Ndunguru. Hata kujua kwamba Osama hakuwa rubani wa hata ndege moja kati ya 4 zilizohusika katika shamblio la Marekani hujui?1
Ali-underperform pae UN Ban Ki-moon akamtema chap-(five yrs), akamteua m2 mwingine kuendelea naye. Angefanya vizur alikuwa na nafas ya kuendelea na Ban.
Jukwaa la Siasa
Mnyika ni kiboko, ndiyo maana alikuwa Tanzania One! Soma alivyo mbabadua Katuga
Katibu Mkuu wa Chadema anaendelea kutoa ushahidi wake.
Mahakama imerejea muda huu saa tisa kasoro alasiri.
Majaji wameingia tayari na Ajuaye Zengeli anasema wako tayari.
Katibu Mkuu wa CHADEMA...
Wasira anasema hayakuwa maandamano bali vurugu. Kama ndivyo, je kulikuwa na ulazima gani polisi kutumia risasi za moto kutuliza hizo vurugu? Hao wavurugaji kwa nini hawakupigwa virungu, bomu la machozi maji washawasha etc, ambapo madhara yangekuwa madogo?
Wale waliouliwa wakiwa majumbani kwao...
Uko sahihi. Kuongezea tu, kama moja ya malengo ni kupunguza foleni, Chalamila hapo ameshafeli. Sababu una abiria say watano wako mbagala, hawajuani, na wote wanapaswa waende magufuli kupanda basi, kila mmoja anachukua usafiri wake. Kwa hiyo una gari tano zinatoka mbagala kuelekea magufuli wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.