Recent content by HIKARI

  1. H

    JamiiForums Tanzania Wakili Dickson Matata: Hukumu inaweza kuwa batili, mahakama haikumsaidia mshitakiwa kuwaleta mashahidi wake.

    We fauler tuambie rais wako wa 2030 yuko wapi?
  2. H

    JamiiForums Tanzania Inawezekana kweli Lissu amewatangulia Wanasheria wa CCM kwa miaka mia moja mbele

    Hicho kikindi cha uasi alichotengeneza Lissu kiko wapi? Peleka ushahidi kwa akina Ndunguru. Hata kujua kwamba Osama hakuwa rubani wa hata ndege moja kati ya 4 zilizohusika katika shamblio la Marekani hujui?1
  3. H

    JamiiForums Tanzania Wicknell Chivayo amtembelea Rais Samia Ikulu na kumfariji baada ya kufiwa na Mume wake

    Hivi vasco da gama ameshaenda kuhani msiba kweli?
  4. H

    JamiiForums Tanzania Wicknell Chivayo amtembelea Rais Samia Ikulu na kumfariji baada ya kufiwa na Mume wake

    Hii picha ni baada ya msiba?
  5. H

    JamiiForums Tanzania Barabara zote ni za serikali, polisi wanaweza kukuzuia kuweka gari lako barabarani!

    Achana na machawa hao
  6. H

    JamiiForums Tanzania Itakuwaje siku Samia akiingia JF asome watu wanavyomchukulia?

    Mtu asiye na akili humu niwewe tu. Kwa vile huna akili unadhani na wengine hawana akili.
  7. H

    JamiiForums Tanzania Rais ni nembo Ya nchi, Tumpende na kumpa ushirikiano wa kutosha

    Tuzungumzie kwanza uwajibikaji kwa yaliyotokea October 29.
  8. H

    JamiiForums Tanzania Academic supremacy: Migiro vs Mnyika

    Ali-underperform pae UN Ban Ki-moon akamtema chap-(five yrs), akamteua m2 mwingine kuendelea naye. Angefanya vizur alikuwa na nafas ya kuendelea na Ban.
  9. H

    JamiiForums Tanzania Kabla hujatukana Serikali, kwanza elewa Serikali ni nini?

    mrombo, mmarangu, mmatumbi, mkenya, ...
  10. H

    JamiiForums Tanzania Mnyika ni kiboko, ndiyo maana alikuwa Tanzania One! Soma alivyombabadua Katuga

    Jukwaa la Siasa Mnyika ni kiboko, ndiyo maana alikuwa Tanzania One! Soma alivyo mbabadua Katuga Katibu Mkuu wa Chadema anaendelea kutoa ushahidi wake. Mahakama imerejea muda huu saa tisa kasoro alasiri. Majaji wameingia tayari na Ajuaye Zengeli anasema wako tayari. Katibu Mkuu wa CHADEMA...
  11. H

    JamiiForums Tanzania Hawa ndio mashahidi wa Lissu, iwapo mahakama itaamua kwamba ana kesi ya kujibu

    Kumbuka hataitwa rais wa jmt. Ataitwa ssh.
  12. H

    JamiiForums Tanzania Tunahitaji Utulivu wa Akili, Mikakati na Mbinu bora za kisasa kuelekea Maridhiano, Muafaka wa Kitaifa na Mabadiliko ya Katiba

    Wasira anasema hayakuwa maandamano bali vurugu. Kama ndivyo, je kulikuwa na ulazima gani polisi kutumia risasi za moto kutuliza hizo vurugu? Hao wavurugaji kwa nini hawakupigwa virungu, bomu la machozi maji washawasha etc, ambapo madhara yangekuwa madogo? Wale waliouliwa wakiwa majumbani kwao...
  13. H

    JamiiForums Tanzania Tunahitaji Utulivu wa Akili, Mikakati na Mbinu bora za kisasa kuelekea Maridhiano, Muafaka wa Kitaifa na Mabadiliko ya Katiba

    Labda maiti waliofichwa warudishwe kwanza , wazikwe kwa heshima.
  14. H

    JamiiForums Tanzania Kumfunga pingu Mwekezaji wa Mabasi ya Tilisho ni udhalilishaji, Vitisho na Ulevi wa madaraka

    Uko sahihi. Kuongezea tu, kama moja ya malengo ni kupunguza foleni, Chalamila hapo ameshafeli. Sababu una abiria say watano wako mbagala, hawajuani, na wote wanapaswa waende magufuli kupanda basi, kila mmoja anachukua usafiri wake. Kwa hiyo una gari tano zinatoka mbagala kuelekea magufuli wakati...
Back
Top Bottom