Recent content by HideYoKids

  1. HideYoKids

    Mahusiano na dada wa kambo

    Inaweza ikawa hakubahatika wanaume waliotulia na hilo linaweza kuwa jibu
  2. HideYoKids

    Mahusiano na dada wa kambo

    Tulianza na sex kwa sababu kila mmoja alivutiwa na mwenzake hata mahusiano mengi yanaanza hivyo
  3. HideYoKids

    Mahusiano na dada wa kambo

    Hili pia lipo kwenye list ngoja tuone itavyokuwa au nisubiri wamekufa kama member mmoja alivyoniambia
  4. HideYoKids

    Mahusiano na dada wa kambo

    Tulifundishana mapenzi mkuu wote tulikuwa tunaanza .
  5. HideYoKids

    Mahusiano na dada wa kambo

    Ndio. Lakini kidini ni ndugu yangu
  6. HideYoKids

    Mahusiano na dada wa kambo

    Tunapoelekea sitaamini dini wala maombi nitafata furaha yangu
  7. HideYoKids

    Mahusiano na dada wa kambo

    Na kila nikifikiria hili roho inauma nakosa amani nakonda kabisa na mwenzangu anapitia haya haya
  8. HideYoKids

    Mahusiano na dada wa kambo

    Tupo pamoja toka tuna miaka 17 sembuse mwaka
  9. HideYoKids

    Mahusiano na dada wa kambo

    Unaandika sababu hujui , mapenzi ni zaidi ya sex , unaweza kutosheka na mtu na kurizika tu kwa kumuona au kumsikia sauti yake moyo wako ukawa na amani kama Ushawahi kupenda kweli utajua nazungumzia nini .
  10. HideYoKids

    Mahusiano na dada wa kambo

    Hawaoani kwa dada wa kambo Ni mtoto wa ma mdogo , ba mdogo ,shangazi ,mjomba Chunguza vizuri utaona usisikilize story za kuambiwa
  11. HideYoKids

    Mahusiano na dada wa kambo

    Yakobo alioa binamu kwa dini yangu ni ruksa kuoa binamu Mimi nimependana na dada wa kambo ambaye kidini ni dada yangu Nahisi niko katika Zambi na niko vibaya yakobo hana kosa yupo sahihi huwezi kutufananisha kiongozi
  12. HideYoKids

    Mahusiano na dada wa kambo

    Ni undugu kidini , kitamaduni kiongozi Hili linajulikana tu.
  13. HideYoKids

    Mahusiano na dada wa kambo

    Mpaka sasa nimepata option mbili tu katika maoni yote humu hii ya kwako ikiwepo [emoji120]. Ila dada umpate huyo mzee ambaye atakuwa na huo ujasiri hapo ni hatari
  14. HideYoKids

    Mahusiano na dada wa kambo

    Hili swali sijalielewa dada ?
  15. HideYoKids

    Mahusiano na dada wa kambo

    Sema chochote mkuu
Back
Top Bottom