Kwahiyo mkuu faida ninazozipata kwenye maziwa freshi ndio hizo hizo nazipata kwenye maziwa mtindi ila kwa kiasi kidogo au ulikua na maana tofauti na hiyo?
Habari wadau
Ningependa kuuliza kuwa kuna athari gani kula mchanganyiko wa matunda mengi katika mlo mmoja?
Hii inatokana na katika migahawa mingi hapa Dar es salaam, na hata ukipita maeneo ya postal utakuta watu wanakatakata matunda aina nyingi na kuyaweka kwenye kifungashio kwaajili ya...
Mahitaji yapo, ukiangalia lugha zetu za asili haziandikiki kwa hizi herufi ulosema ni za kilatini
Hata na hivyo nilitaka kujua kwanini wao waweze kuwa na herufi zao na sisi tushindwe! Na sio kwamba nilihitaji kujua umuhimu wa sisi kuwa na herufi zetu
Nimefuatilia jamii nyingi duniani zina herufi na namba zao, mfano wachina, waarabu, wakorea, wazungu
Je nini chimbuko la herufi na namba hizi? Walifanikiwa vipi walio na herufi zao?
Msaada kwa mwenye ufahamu
Naomba watalaamu wa kiswahili wanisaidie kwanini tunaandika Mbwa badala ya Mmbwa,Mbu badala ya Mmbu na ikizingatiwa kimatamshi tunatamka Mmbwa na Mmbu badala ya Mbwa, Mbu?
Maneno yapo mengi ila hayo ni kama mfano
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.