Recent content by Hichilema

  1. H

    Huku Tanzania kukiwa na ruhusa ya kula kwa urefu wa kamba, Hiki ndicho kinaendelea kwa Kagame, Naiona Rwanda mbali baada ya miaka 20

    Una uhakika baada ya hiyo miaka 20 Kagame atakuwa hai na anatawala? Likija suala la kuhesabu nchi siriasi na zenye future tafadhali usiihesabu Rwanda.
  2. H

    Tetesi: Tetesi za usajili wa dirisha kubwa ligi kuu Tanzania bara 2025/2026

    Fadlu Davids anatakiwa na Raja Casablanca, Kaizer Chiefs na Al Ahly. Uwezekano wa kuondoka ni mkubwa sana
  3. H

    Tetesi: Tetesi za usajili wa dirisha kubwa ligi kuu Tanzania bara 2025/2026

    Mcchezaji huwa anatangazwa baada ya kusajiliwa . Usishangae hata aliyesaini mwaka huu akatangazwa mwakani
  4. H

    Tetesi: Tetesi za usajili wa dirisha kubwa ligi kuu Tanzania bara 2025/2026

    Tetesi namba 137 ndo itatangazwa leo saa 9
  5. H

    Tetesi: Tetesi za usajili wa dirisha kubwa ligi kuu Tanzania bara 2025/2026

    Bro nikushauri upunguze kula maharage. Be flexible and sexy. Fei atavaa jezi namba 6 msimu ujao kama nilivyosema.
  6. H

    Tetesi: Tetesi za usajili wa dirisha kubwa ligi kuu Tanzania bara 2025/2026

    X factor ni Feisal Salum (Fei toto). Nilipost hapa wenye akili nyingi wakanitukana. Siku niliposema Fei kasaini Simba ndo kweli alikuwa amesaini. Atakuja msimu ujao kama mchezaji huru
  7. H

    Tetesi: Tetesi za usajili wa dirisha kubwa ligi kuu Tanzania bara 2025/2026

    Allan Okello anatakiwa na Simba SC
  8. H

    Tetesi: Tetesi za usajili wa dirisha kubwa ligi kuu Tanzania bara 2025/2026

    Mchezaji mwenye X - factor ni nani?
Back
Top Bottom