Sasa hivi bagamoyo sio ile ya zamani,usijali lami ya dsm imepita na imeunganisha sehemu nyingi na kuondoa kero ya usafiri.
KARIBU SANA BAGAMOYO ILA UJITUME...
waislam muda mrefu wamekuwa wakilalamika kuhusu necta na kuonesha waziwazi kutokuwa imani na baraza hili lakini kabla hatujawaita wadini na wanakazania sana elimu ya dini hebu kwanza tuangalie udhaifu wa hii necta uliojitokeza ktk kupanga matokeo hasa ya somo la islamic uliotokea mwaka...
Kuacha kazi si suluhisho kwasababu mwalimu ndio kila kitu ktk jamii cha msingi ni kuboresha mazingira aliyokuwa nayo huyu mwalimu.Chukulia kwamba shule zikawa hazina walim unafikiri hata hiyo biashara itafanyika vp ikiwa wahusika hawana elimu...
ELIMU KWANZA MAMBO MENGINE YANAFUATA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.