Kila jambo linaanza panapokuwa na chanzo, mambo kama maisha, ndoa, mafanikio, umasikini, magonjwa n.k.
Wanadamu tuna fursa ya kubadili hasi kwenda chanya, kila mmoja wetu anatamani kubadili lililo tatizo kuwa fursa au faraja. Unapokua na afya mbaya utahangaika ili upone, unapokua huko sawa...