Hakuna mtu atakayekutendea sahihi ikiwa hujithamini wewe mwenyewe.
Ikiwa unataka heshima kwa wengine wakuzungukao, basi udumishe picha nzuri ya wewe mwenyewe machoni pako na rohoni mwako jinsi gani unajifikiria.
Kama utawapa wengine udhibiti huo, watakupuuza hadi kufikia hatua ambayo hutaweza...
kwanza situation unayopitia sio ya pekeyako ni wengi wanapitia kuna mambo kadhaa tu ya kujua mfano wakati ukiona akili yako imestack jaribu kutumia mda wako mwingi unapokua free kua na familia yako au wale ndugu zako ambao una amini wanakupenda na kushauriana mambo kadhaa n.b rafiki wa kweli ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.