I salute you Mkuu,hongera sana [emoji1474][emoji1474][emoji1305][emoji1319] umeandika vizuri sana na ukweli sana.Ni wachache sana tutakuelewa.Unapatikana wapi mkuu?unaishi wapi na unajihusisha na nini?
Wakuu jitahidini kuservice magari:magari ni Kama unavyoongalia afya ya mwili wako kwa kufanya check up mara kadhaa ndani ya mwaka.Gari ni hivyo hivyo lazima lifanyiwe service ili kuepusha ajali,ajali nyingi ni uzembe wetu wenyewe(man-made).[emoji1431][emoji1431]Sijawahi kupata ajali na hii gari...
Habari Wakuu,Kama muonavyo topic hapo juu nauza Prado.Below are the pictures attached.Please no yangu ni 0754 976 082 mnaweza kunipata pia kwenye What'sapp.Napatikana DSM.
NO YANGU YA SIMU 0754 976 082 NAPATIKANA PIA WHATSAPP.NAPATIKANA PIA KWENYE NO 0674 951 020.MAZUNGUMZO YAPO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.