Recent content by Heli wali nyama

  1. H

    KERO Mfumo wa Ajira Portal unatutesa, mamlaka husika ifanyie kazi changamoto hii

    Ww unaweza nikupe hy kazi ufanye halafu uone km inawezekana? Shida sio kuedit taarifa nataka kuondoa kabisa hicho kisiwepo wewe unaweza maana ukiona mtu anasema ujue amejaribu
  2. H

    KERO Mfumo wa Ajira Portal unatutesa, mamlaka husika ifanyie kazi changamoto hii

    Wizara inayohusika na mfumo wa ajira potal hebu isikie kero za watu juu ya huo mfumo, imekuwa shida kubwa sana kutuma maombi ya kazi kupitia mfumo huo maana huwezi kutuma maombi mpaka ufike asilimia 70% kila ukijaza hazifiki lakini pia huwezi kuondoa vyeti ulivyoviweka kuweka vyengine pia huwezi...
Back
Top Bottom