Hakuna maswala ya kiburi cha uzima acha uongo Imani ni kitu complexity sana full uongo na udanganyifu that's why unaona kile Ambacho unacho kiamini wewe katka Imani Yako either uwe mkiristu muislam hakuamini hicho na Kwa upande wake ana jiona Yuko sahihi , ni hivyo hivyo Kwa Buthism, Hinduism...
Unafikira za kizamani sana kwani Kila anaye kufa anazikwa !? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuzikwa ni utamaduni unao tegemea na culture uliyo rithi toka Kwa watu walio kutawala au kukulea ukienda India china Korea etc Kuna baadhi ya clan Huwa zina choma maiti hata wewe...
Ninacho kiona hapo ni kwamba Putin anajaribu kutaka kulijenga taifa lake ktk misingi ya watu wanaoamini ktk dini Ili iweze kuwa rahisi kuwa tawala watu hao nothing much
Dini ni Moja ya silaha ya kuwafanya watu wa taifa /mataifa wawe watulivu Wenye hekima busara na hofu so matendo Yao hayato...
Mean while wewe una uelewa mkubwa sana ndio maana nimshauri mkuu wa serikali Yako ya JMTZ na umeisaidia serikali hiyo kuwa taifa la kwanza linalo ongoza Kwa uchumi mkubwa Africa mashariki [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa Waka nunue gesi huko waache kulia kulia [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nadhani wewe utakuwa unajua zaidi kuliko viongozi wa EU wapatie ushauri Ili wasikutane na mfumuko wa bei unao sababishwa na vikwazo walivyo muwekea wao wenyewe Russia
Yaani awe na Urafiki wa kibiashara na watu walio mpiga sanctioned, ukimwaga Ugali na mwaga mboga [emoji1787]
Sio lazima kufanya biashara na ulaya magharibi mataifa yapo mengi mbona
Acha wapewe kichapo Cha uchumi
Yaani mtu ana tumia akiba yake wewe una furahia unaona ni jambo zuri ama kweli akili ni nywele [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
H
Ukiona mtu / Taasisi Ina tumia akiba it means imeshindwa kuzalisha kile ilicho kuwa inaingiza awali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.