dah!mm nilipoona wananiletea izo habar za Psychometric test nilikuwa nishavunjia moyo.ila nikaona nitume ile form yao ya assmnt ivoivo jamaa wakaniambia kuwa kabla kabla tarh 30 niwe nishawatumia wakatoa na link ya kufanya izo test online ama physical na malipo yak nikaona kw hali hii basi tu...
i faced the same problm too...na mwisho nikaona niende physical wakaniambia hawapokei hard copies na hata kama nikiziwcha hazitashuhulikiwa.nikawaambia km emalz mlizoweka nikituma zinafail.wakasema nijaribu tena lakn emalz ndio izo izo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.