yeah ni kwel anaitwa kibebe, mzee wng alchukua apa ng'ombe wake ni wazur, ka uko na namba ya uyo kibebe mpatie uyo jamaa anayeitaj mana me mzeee wng nlmchek kumuliza izo namba hana kwa Sasa alizipoteza
Kwa Mwanza sijui ila najua Iringa, kwa Iringa kuna mzungu hua anauza ng'ombe wa kisasa wa maziwa wenye mimba Shilingi million 3.
Ng'ombe wake ni wazuri na wanatoa maziwa kwa wingi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.