Negligible? Kama picha ni sahihi maana yake ishu ya Oblate spheroid ni uongo completely no either ways
Pia dalili zinaonyesha zaidi ya 90% ishu ya Moon landing ilikua uongo,.. kwahiyo usishangae watu ku question uhakika wa mambo ulivyo maana ndani ya hizi tafiti zinazoaminika na wengi kuna...
Vizuri, sasa kwanini tafiti unazozikubali zinasema Dunia sio complete sphere,.. ila kwenye picha tunaona complete sphere?
Huoni contradiction hapo?
Tushike lipi ni complete sphere/not?
Sawa, Naomba nikuulize swali kidogo,.. kwa picha za umbo la Dunia ambazo zimetoka hivi karibuni,.. Unaona dunia ni tufe kamili (perfect sphere)? au sio perfect sphere(yaani, Oblate spheroid) kama ambavyo tafiti za NASA zinasema, maana tafiti zinasema Dunia sio tufe kamili, Je picha zinaonyesha...
Kwanza umekubali kwamba ile story ya Moon landing ya miaka ya 60's tulipigwa? 🤣
Maana kama lilikua ni tukio la kweli basi hata hawa Artemis II wangeshaenda kuruka ruka kwenye mwezi kama ile video ya Kikosi cha Apollo inavyotuonyesha,...
NB; Mimi nipo positive uthibitisho ukipatikana mbona...
Mkuu, kitu hakiwezi kuwa real na theory at the same time,.. Ukisema Big bang ni real basi inabidi utuambie ni research gani umefanya mpaka ukaamua kuhitimisha hivyo,.
Sawa kwahiyo Yesu alionyesha jinsi ya kumtegemea Mungu?
Kwanini asiwaonyeshe moja kwa moja jinsi ya kumtegemea yeye Yesu,.. badala yake kawaonyesha jinsi ya kumtegemea Mungu?
Au hakutaka wanafunzi wake wajue kama Yeye ni Mungu?,..
Sasa kama Yesu ni Mungu,.. mbona na yeye alikua anafanya Ibada kama sisi Binadamu wa kawaida?
Alikua anamuabudu nani wakati unasema Yeye ndiyo Mungu??..... Dah kweli akili muhim 😅
Umeni quote lakini umeshindwa kujibu hoja niliyoiweka,.... Wachina wanafanya tafiti lakini mpaka leo kama races nyingine tu bado hawajapata majibu ya maswali yanayotutatiza Binadamu wote since maswali hayo as we speak yanaonekana yapo nje ya uwezo wetu wa kufikiri kwa kutumia resources...
Sidhani kama kutumia neno "Kuisema Serikali vibaya" ni sahihi maana ni kama kusema unaipakazia serikali mambo ambayo hayapo au unaitukana....... na hata kama nimekosea nilichosema kwanini sheria isifate mkondo wake nikapelekwa kwenye vyombo vinavyohusika na kesi kama hizo za kuchafua serikali na...
Hivi ni kwanini hapa Tanzania mtu akijaribu kutoa maoni yake kuhusu mambo ambayo anaona hayaendi sawa anaonekana mbaya na muhamasishaji wa vurugu?
Kwa mfano ukionekana mtu unaongelea masuala ya utekaji basi unakua adui wa wenye mamlaka,.. huoni kwamba mambo kama haya ndiyo yamepelekea tufike...
Je, asipowashawishi.... yale ambayo jamii inaona hayaendi sawa yataisha au yataendelea kufanyika? Na kama yataendelea kufanyika njia gani isiyo na madhara unashauri itumike kuondoa changamoto zilizopo ili kila mmoja aishi kwa amani na haki za msingi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.