Recent content by hateeb10

  1. hateeb10

    JamiiForums Tanzania NASA INATUCHANGANYA! Je, Ni Kweli Dunia Inazunguka kwa Kasi ya KM 1,600/Saa au Tumeaminishwa Uongo?

    Nimeiona hii Video Ig,.. mnasemaje wadau? https://www.instagram.com/reel/DYASNT0sA6y/?igsh=MWFhbHFwcXlrbTlvdA==
  2. hateeb10

    JamiiForums Tanzania NASA INATUCHANGANYA! Je, Ni Kweli Dunia Inazunguka kwa Kasi ya KM 1,600/Saa au Tumeaminishwa Uongo?

    Anashindwa kuelewa kitu kidogo tu kwamba unaweza ukaelewa lakini kama huwezi kuthibitisha ulichokielewa maana yake umeamua kuamini tu,.. kwa mfano mtu unaweza ukasoma Evolution theory ukaelewa process nzima vizuri kabisa ila ukiambiwa uthibitishe huwezi,. Sasa hapo maana yake kuelewa kwako hiyo...
  3. hateeb10

    JamiiForums Tanzania NASA INATUCHANGANYA! Je, Ni Kweli Dunia Inazunguka kwa Kasi ya KM 1,600/Saa au Tumeaminishwa Uongo?

    So kupitia Artemis II bado hatuwezi kuhitimisha 100% kwamba Dunia inazunguka,............ maana kama hatuna njia/tech ya kutufanya tu observe jinsi Dunia inavyozunguka na wala sisi wenyewe hatuhisi kwamba Dunia inazunguka,. ni mechanism gani ambayo itawezesha milango yetu ya fahamu iweze...
  4. hateeb10

    JamiiForums Tanzania NASA INATUCHANGANYA! Je, Ni Kweli Dunia Inazunguka kwa Kasi ya KM 1,600/Saa au Tumeaminishwa Uongo?

    Hili tukio lilifanyika mwaka 1969.....😅
  5. hateeb10

    JamiiForums Tanzania NASA INATUCHANGANYA! Je, Ni Kweli Dunia Inazunguka kwa Kasi ya KM 1,600/Saa au Tumeaminishwa Uongo?

    Nimeomba uthibitisho,. Bwana Lax akasema washatoa maelezo,.. ndiyo nikauliza "Maelezo yanatosha kuthibitisha kwamba Dunia inazunguka?"
  6. hateeb10

    JamiiForums Tanzania NASA INATUCHANGANYA! Je, Ni Kweli Dunia Inazunguka kwa Kasi ya KM 1,600/Saa au Tumeaminishwa Uongo?

    Sasa mbona picha walizotoa Artemis II zinaonyesha Dunia ni duara kamili na sio Oblate Spheroid,..?
  7. hateeb10

    JamiiForums Tanzania NASA INATUCHANGANYA! Je, Ni Kweli Dunia Inazunguka kwa Kasi ya KM 1,600/Saa au Tumeaminishwa Uongo?

    Watautoa? maana yake sasa hivi bado hawajautoa? 😅,... Kwahiyo sasahvi unatumia imani kujua kwamba Dunia inazunguka?
  8. hateeb10

    JamiiForums Tanzania NASA INATUCHANGANYA! Je, Ni Kweli Dunia Inazunguka kwa Kasi ya KM 1,600/Saa au Tumeaminishwa Uongo?

    Hapana Mimi sikatai,. Bali nasubiri tupate uthibitisho au wewe tayari una uthibitisho wa Dunia kufanya movement? Kama una uthibitisho unaweza ukauweka wazi ili kuondoa doubts zote,.. maana kukiwa na uthibitisho hata hii mijadala haitozuka tena,.. au unasemaje?
  9. hateeb10

    JamiiForums Tanzania NASA INATUCHANGANYA! Je, Ni Kweli Dunia Inazunguka kwa Kasi ya KM 1,600/Saa au Tumeaminishwa Uongo?

    Kwahiyo hata NASA hawawezi kuona Dunia ikijizungusha? So, wewe unatumia mechanism gani kujithibitishia 100% kwamba Dunia inazunguka, ikiwa hujawahi kushuhudia ikifanya hivyo?
  10. hateeb10

    JamiiForums Tanzania NASA INATUCHANGANYA! Je, Ni Kweli Dunia Inazunguka kwa Kasi ya KM 1,600/Saa au Tumeaminishwa Uongo?

    Sio kweli mkuu,.. hata kitu kiwe na ukubwa kiasi gani,.. kuna umbali ukikaa lazima uta observe kwamba kina move... Unataka useme hata kikosi cha Apollo (1969) ambao walikanyaga kabisa Mwezini walishindwa ku observe movement ya Dunia? Kumbuka Dunia inazunguka kwa kasi,.. sasa kitu gani...
  11. hateeb10

    JamiiForums Tanzania NASA INATUCHANGANYA! Je, Ni Kweli Dunia Inazunguka kwa Kasi ya KM 1,600/Saa au Tumeaminishwa Uongo?

    Duh!,. kwahiyo unaamini kwamba Afrika hakujawahi kuwa na civilisation wala knowledge zozote,.. Afrika imekuwa na njia zake tangu zamani kulikuwa na mifumo ya mavazi, tiba , elimu, mawasiliano, n,k.,... maendeleo yote unayoyaona leo duniani si ya kundi au “race” moja pekee. Kila jamii...
  12. hateeb10

    JamiiForums Tanzania NASA INATUCHANGANYA! Je, Ni Kweli Dunia Inazunguka kwa Kasi ya KM 1,600/Saa au Tumeaminishwa Uongo?

    Unataka useme hata tuwe umbali kiasi gani nje ya uso wa Dunia, hatuwezi kuona kama Dunia inazunguka?,... maana tukiwa Duniani tunaambiwa hatuwezi kuhisi wala kuona kama Dunia ipo kwenye mwendo kwa kuwa tupo ndani yake na tuna move nayo,..
Back
Top Bottom