Anashindwa kuelewa kitu kidogo tu kwamba unaweza ukaelewa lakini kama huwezi kuthibitisha ulichokielewa maana yake umeamua kuamini tu,.. kwa mfano mtu unaweza ukasoma Evolution theory ukaelewa process nzima vizuri kabisa ila ukiambiwa uthibitishe huwezi,. Sasa hapo maana yake kuelewa kwako hiyo...
So kupitia Artemis II bado hatuwezi kuhitimisha 100% kwamba Dunia inazunguka,............ maana kama hatuna njia/tech ya kutufanya tu observe jinsi Dunia inavyozunguka na wala sisi wenyewe hatuhisi kwamba Dunia inazunguka,. ni mechanism gani ambayo itawezesha milango yetu ya fahamu iweze...
Hapana Mimi sikatai,. Bali nasubiri tupate uthibitisho au wewe tayari una uthibitisho wa Dunia kufanya movement?
Kama una uthibitisho unaweza ukauweka wazi ili kuondoa doubts zote,.. maana kukiwa na uthibitisho hata hii mijadala haitozuka tena,.. au unasemaje?
Kwahiyo hata NASA hawawezi kuona Dunia ikijizungusha?
So, wewe unatumia mechanism gani kujithibitishia 100% kwamba Dunia inazunguka, ikiwa hujawahi kushuhudia ikifanya hivyo?
Sio kweli mkuu,.. hata kitu kiwe na ukubwa kiasi gani,.. kuna umbali ukikaa lazima uta observe kwamba kina move...
Unataka useme hata kikosi cha Apollo (1969) ambao walikanyaga kabisa Mwezini walishindwa ku observe movement ya Dunia?
Kumbuka Dunia inazunguka kwa kasi,.. sasa kitu gani...
Duh!,. kwahiyo unaamini kwamba Afrika hakujawahi kuwa na civilisation wala knowledge zozote,.. Afrika imekuwa na njia zake tangu zamani kulikuwa na mifumo ya mavazi, tiba , elimu, mawasiliano, n,k.,... maendeleo yote unayoyaona leo duniani si ya kundi au “race” moja pekee. Kila jamii...
Unataka useme hata tuwe umbali kiasi gani nje ya uso wa Dunia, hatuwezi kuona kama Dunia inazunguka?,... maana tukiwa Duniani tunaambiwa hatuwezi kuhisi wala kuona kama Dunia ipo kwenye mwendo kwa kuwa tupo ndani yake na tuna move nayo,..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.