Hahh duh kwamba huo ndiyo mfano uliopata?
Sitaki kukupeleka mbali nakuuliza swali rahisi tu,.. kwenye huo mfumo uliotaja Kipi kilianza?,. Mwanaume/Mwanamke au Mbegu/Yai?
Ndiyo uthibitisho wa kimantiki upo,... kwa kuwa hakuna mfumo uliowahi kujiunda wenyewe basi hata mifumo ya Miili yetu haijajiunda...
Ukikataa nitajie mfumo japo mmoja tu ambao unaweza kuthibitisha kwamba umejiunda wenyewe na unafanya kazi kwa ufanisi..... ukiweza nitakubali unasema kweli 100%...
Unaposema haijaundwa inabidi ulete uthibitisho kwamba,. licha ya mifumo kuonekana kwenye mpangilio wa kitaalamu hakuna ujuzi wowote uliotumika kufanya mifumo hiyo iwe hivi tunavyoiona.
sio unalazimisha kwamba UJUZI haujatumika,. ukiulizwa mifumo imejipangiliaje kitaalamu na kwa usahihi hivyo...
Nina uhakika kwamba mifumo imeundwa kwa sababu tunaona ipo kwenye mpangilio unaowezesha miili yetu kufanya kazi tena kwa kutegemeana kati ya mfumo mmoja na mwingine (organization na functional relationship),
We jiulize kama ukikuta gari lina engine, gearbox, brakes, steering na wheels, halafu...
Sijasema "Muumbaji" Swali langu ni..... huoni kama mifumo iliyopo inaonekana imeundwa kitaalamu?
Pia kimsingi ni kwamba wewe ni kama Binadamu wengine tu hujui umefikaje hapa na hujui wapi unaelekea,.... kinachobaki unafanya assumptions tu ambazo huna uhakika nazo, so hutakiwi kulazimisha...
Nini maoni yako juu ya mfumo mzima wa uzazi? Je, inatosha akili yako kuhitimisha kwamba mfumo huo umejiweka tu kwa bahati mbaya?
Engineering ya mfumo mzima wa ngono na kuzaliana unauonaje? umetokea by coincidence? Sawa!!
Huoni kwamba kuna utaalamu umetumika kuweka hiyo mifumo mzee? 🤣 ,....
Anashindwa kuelewa kitu kidogo tu kwamba unaweza ukaelewa lakini kama huwezi kuthibitisha ulichokielewa maana yake umeamua kuamini tu,.. kwa mfano mtu unaweza ukasoma Evolution theory ukaelewa process nzima vizuri kabisa ila ukiambiwa uthibitishe huwezi,. Sasa hapo maana yake kuelewa kwako hiyo...
So kupitia Artemis II bado hatuwezi kuhitimisha 100% kwamba Dunia inazunguka,............ maana kama hatuna njia/tech ya kutufanya tu observe jinsi Dunia inavyozunguka na wala sisi wenyewe hatuhisi kwamba Dunia inazunguka,. ni mechanism gani ambayo itawezesha milango yetu ya fahamu iweze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.