Recent content by hateeb10

  1. hateeb10

    Picha ya Dunia yenye high resolution kutoka space imepigwa na Artemis II!

    Negligible? Kama picha ni sahihi maana yake ishu ya Oblate spheroid ni uongo completely no either ways Pia dalili zinaonyesha zaidi ya 90% ishu ya Moon landing ilikua uongo,.. kwahiyo usishangae watu ku question uhakika wa mambo ulivyo maana ndani ya hizi tafiti zinazoaminika na wengi kuna...
  2. hateeb10

    Picha ya Dunia yenye high resolution kutoka space imepigwa na Artemis II!

    Vizuri, sasa kwanini tafiti unazozikubali zinasema Dunia sio complete sphere,.. ila kwenye picha tunaona complete sphere? Huoni contradiction hapo? Tushike lipi ni complete sphere/not?
  3. hateeb10

    Picha ya Dunia yenye high resolution kutoka space imepigwa na Artemis II!

    Bado hujajibu swali,.. lengo langu sio kubishana bali nataka nijifunze kitu hapa,... eb rudia kusoma tena swali langu vizuri hapo juu ndiyo ujibu
  4. hateeb10

    Picha ya Dunia yenye high resolution kutoka space imepigwa na Artemis II!

    Sawa, Naomba nikuulize swali kidogo,.. kwa picha za umbo la Dunia ambazo zimetoka hivi karibuni,.. Unaona dunia ni tufe kamili (perfect sphere)? au sio perfect sphere(yaani, Oblate spheroid) kama ambavyo tafiti za NASA zinasema, maana tafiti zinasema Dunia sio tufe kamili, Je picha zinaonyesha...
  5. hateeb10

    Picha ya Dunia yenye high resolution kutoka space imepigwa na Artemis II!

    Kwanza umekubali kwamba ile story ya Moon landing ya miaka ya 60's tulipigwa? 🤣 Maana kama lilikua ni tukio la kweli basi hata hawa Artemis II wangeshaenda kuruka ruka kwenye mwezi kama ile video ya Kikosi cha Apollo inavyotuonyesha,... NB; Mimi nipo positive uthibitisho ukipatikana mbona...
  6. hateeb10

    Bing Bang Theory is real. Ask me anything about it here…

    Mkuu, kitu hakiwezi kuwa real na theory at the same time,.. Ukisema Big bang ni real basi inabidi utuambie ni research gani umefanya mpaka ukaamua kuhitimisha hivyo,.
  7. hateeb10

    Je, Mafundisho haya ndiyo Mungu alimtuma Muhammad aje ayafundishe?

    Qur'an haitaji idadi ya vitabu kwenye Torati,..
  8. hateeb10

    Je, Mafundisho haya ndiyo Mungu alimtuma Muhammad aje ayafundishe?

    Sawa kwahiyo Yesu alionyesha jinsi ya kumtegemea Mungu? Kwanini asiwaonyeshe moja kwa moja jinsi ya kumtegemea yeye Yesu,.. badala yake kawaonyesha jinsi ya kumtegemea Mungu? Au hakutaka wanafunzi wake wajue kama Yeye ni Mungu?,..
  9. hateeb10

    Je, Mafundisho haya ndiyo Mungu alimtuma Muhammad aje ayafundishe?

    Nimesoma sijaona jibu,.. cha kufanya jibu sasa hivi kwa faida ya wengi mkuu
  10. hateeb10

    Je, Mafundisho haya ndiyo Mungu alimtuma Muhammad aje ayafundishe?

    Sasa kama Yesu ni Mungu,.. mbona na yeye alikua anafanya Ibada kama sisi Binadamu wa kawaida? Alikua anamuabudu nani wakati unasema Yeye ndiyo Mungu??..... Dah kweli akili muhim 😅
  11. hateeb10

    Kuna ombwe juu ya chanzo chetu na ulimwengu!

    Umeni quote lakini umeshindwa kujibu hoja niliyoiweka,.... Wachina wanafanya tafiti lakini mpaka leo kama races nyingine tu bado hawajapata majibu ya maswali yanayotutatiza Binadamu wote since maswali hayo as we speak yanaonekana yapo nje ya uwezo wetu wa kufikiri kwa kutumia resources...
  12. hateeb10

    Huku ni Kuchanganyikiwa Kwa Wanaharakati

    Sidhani kama kutumia neno "Kuisema Serikali vibaya" ni sahihi maana ni kama kusema unaipakazia serikali mambo ambayo hayapo au unaitukana....... na hata kama nimekosea nilichosema kwanini sheria isifate mkondo wake nikapelekwa kwenye vyombo vinavyohusika na kesi kama hizo za kuchafua serikali na...
  13. hateeb10

    Huku ni Kuchanganyikiwa Kwa Wanaharakati

    Hivi ni kwanini hapa Tanzania mtu akijaribu kutoa maoni yake kuhusu mambo ambayo anaona hayaendi sawa anaonekana mbaya na muhamasishaji wa vurugu? Kwa mfano ukionekana mtu unaongelea masuala ya utekaji basi unakua adui wa wenye mamlaka,.. huoni kwamba mambo kama haya ndiyo yamepelekea tufike...
  14. hateeb10

    Mange Kimambi naye hana huruma na uhai wa Watanzania

    Je, asipowashawishi.... yale ambayo jamii inaona hayaendi sawa yataisha au yataendelea kufanyika? Na kama yataendelea kufanyika njia gani isiyo na madhara unashauri itumike kuondoa changamoto zilizopo ili kila mmoja aishi kwa amani na haki za msingi?
Back
Top Bottom