Recent content by hassmixy

  1. H

    Wassira ndani ya TBC1 akifanya Tathmini ya Bunge la Katiba

    ccm inataka muundo wa serikal 2 sababu hasa ni kulinda chama kisiondolewe madarakan na wanayo mifano hai kwa nchi zilzobadilisha katiba kama vile nchi ya kenya iliandika katiba upya na matokeo yake chama cha kanu kikaondolewa, so si kama hawafaham s3 wanajua sana na nn kitawatokea. hvyo kutetea...
  2. H

    Deni la Tanzania sasa lafikia trilioni 40, IMF yaionya serikali

    hali mbaya tunahtaji fikra mpya zisizo na ushabik
  3. H

    GE2015 UKAWA kusimamisha mgombea Urais 2015

    hili ni bonge la dili,safi sn ukawa.
  4. H

    Wassira aisambaratisha UKAWA

    hakuna kiboko yao zaid ya kifo,enzi za nyerere watu wamenyanyasika sn kisa kudai serikal 3 hatimae nyerere ameondoka na bado mzimu wa s3 unaendelea tena kwa kas na viwango.Tanzania ya leo si kama ile ya enz za mwalim ya kwamba kiongoz anaopogwa kwa cheo badala ya hoja, hapa ni suala la wakati tu...
Back
Top Bottom