ccm inataka muundo wa serikal 2 sababu hasa ni kulinda chama kisiondolewe madarakan na wanayo mifano hai kwa nchi zilzobadilisha katiba kama vile nchi ya kenya iliandika katiba upya na matokeo yake chama cha kanu kikaondolewa, so si kama hawafaham s3 wanajua sana na nn kitawatokea. hvyo kutetea...
hakuna kiboko yao zaid ya kifo,enzi za nyerere watu wamenyanyasika sn kisa kudai serikal 3 hatimae nyerere ameondoka na bado mzimu wa s3 unaendelea tena kwa kas na viwango.Tanzania ya leo si kama ile ya enz za mwalim ya kwamba kiongoz anaopogwa kwa cheo badala ya hoja, hapa ni suala la wakati tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.