Mambo yote hayo unayosema kaka ni upuzi mtupu ninavyo amini mimi ni kuwa wewe huna mada ya kisawasawa ila una bahatisha na kazi yako ni copy na ku-past hapa na nimedhibitisha hayo kwa kutoa mada hiyo umelitoa wapi
kama uko tayari na unajiamini ruka uwanjani na tujadili mada hiyo uliyo i-copy...
Lo jamani na shangaa na baadhi ya watu, kutaka kuwapachika watu uwalimu kwa kusema kuwa eti ni walimu ilhali si walimu
Bwana kazi yak u-paste na ku-copy kwangu mimi ni kupoteza mda na kujionesha kuwa huna elimu uliyosoma mwenyewe na ndivyo ilivyo sasa nenda ukasome kasha uje na hoja ya nzito...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.