Recent content by Hassan Kindamba

  1. H

    Ujumbe wa Tundu Lissu kuhusu Hayati Ally Hassan Mwinyi

    Hakuwa nadamu ya kitanzania na ndiyo maana alikuwa tofauti.Kikwete ni habari nyingine,roho safi na ndiyo maana ataendelea kupendeza.Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
  2. H

    Paul Kimiti: Utaratibu wa mtu mmoja kutembea nchi nzima kufuatilia matatizo ya watu hauwezi kufanikiwa

    Ahsante kwa kudadavua.Uelewa wa vijana wengi ni kiduchu sana.Maelezo aliyosema Mzee wetu na michango yao ni nje kabisa ya mada.
  3. H

    Paul Kimiti: Utaratibu wa mtu mmoja kutembea nchi nzima kufuatilia matatizo ya watu hauwezi kufanikiwa

    Enzi zao kulikuwa na mifumo thabiti ya kutatua matatizo ya wanaichi.Wakuu wa wilaya na Mikoa walikuwa na muda wa kushughulikia matatizo ya watu.Hivi Sasa muda wa kuwepo ofisini hawana tokana na mfumo ulivyo.Inaonyesha wewe haukuwepo zama hizo ndiyo maana unamtukana Mzee huyu.
  4. H

    Wassira: Tukiruhusu Serikali za Majimbo kama Sera ya CHADEMA tutajuta, Kenya Nusu ya Mapato yake hulipa mishahara ya Wabunge na Magavana!

    Ilivyo Sasa ndiyo gharama kubwa Sana kuwalipa Mayor's wakuu wa mikowa na MaDC ambapo ni wengine nchi nzima.Nafasi ya Mayor ndiyo ya Governor na ni 8 TU nchi Zima hakuna maDC Wala MaRC.Watendaji wa Serikali watakuwsMaRAS na MaDAS MaDED ni watetaji wa halmashauri.Gharama ya kuendesha Serikali...
  5. H

    Na hili nalo linasubiri Rais aseme? Kunyanyasa wenye maduka siku ya Jumamosi

    Uchumi umesinyaa, mauzo kwenye biashara zetu yamepungua kwa asilimia takribani 60. Hivi tunalazimika kulipa kodi ya mapato, Leseni ya biashara, Fire Extiqusher, Tozo za kuzoa taka, kodi ya chumba cha biashara pia kuna kodi ya municipal ambayo hatuijui hata maana yake. Sasa unapunguziwa muda wa...
  6. H

    Mdororo wa biashara waathiri mapato ya Serikali katika robo ya kwanza ya Bajeti 2017/2018

    Waliopiga Dili wanaendelea kula vyao hata baada ya vyuma kubana. Dili zao walizitakatisha na kuwa assets halali. Tunaoshangilia kuwa wamekomolewa ndiyo tunaendelea kukipata cha mtema kuni.
Back
Top Bottom