Pole kijana mwenzangu kwa kuibiwa na hao jamaa, lakini usikate tamaa, kuwa makini tu, mie nilijua hawa ni wezi tu ndomana nikaamua niisaidie jamii kwa kuwatahadharisha na hawa jamaa, sasa inabidi wachukuliwe hatua!!!
Mie hawawezi wakanipata hawa, nimeshakutana na matangazo kama haya mengi mtaani na nimeyapotezea. hapa nilikua nawafahamisha ndugu wana jf wachukue tahadhari na watu kama hao. nimetumia style hiyo kutoa hoja.
papipa
Tujuzane wana jf kuhusu hawa jamaa, leo wameweka matangazo yao kwenye mitaa ya magomeni mapipa dar, ukipiga sim wanakwambia uje na shilingi 2000 ya form kesho!! je hawa ni wale wasambazaji vipodozi vya kichina!?
Asante sana mkuu kwa kunielewa, hakuna mtu asiotaka kujiendeleza kielim lakini utasoma atakulipia nani? ukweli mie nimesoma kwa kulipiwa na board ya mikopo (boom), wazazi wangu wamefaliki kitambo tu mama wakati nipo lasaba farther form five kwahiyo niliyumba sana ki maendeleo.
Habari wana jf wenzangu!, mtaani kunachosha na mtaji hatuna!! Nimeshaandika barua nyingi sana na CV lakini majibu hamna, Kwahiyo nawasilisha kwenu kama kuna mtu au kampuni inahitaji mfanya kazi anaeshuhulika na maswala ya IT Nipo tayari kwenda popote ndani ya TZ.
Elimu yangu Degree ya kwanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.