Ujauzito ni wa kwanza,
Kipimo cha Mara ya kwanza kilipimwa Mara moja tu, kipimo cha Jana nacho kimepimwa Mara moja tu, dawa alizo pewa, zinaitwa AGOFER,
Afu kuhusu malalamiko hana hata shida yoyote yupo vizuri kabisa, ila alivo pewa izo dawa za kutafuna ndo akajiskia vibaya hadi kutapika,