Habari ndugu,
Samahani naomba mwenye kujua ni vyuo gani Tz vinafundisha ufundi wa magari makubwa ya mizigo na gharama zake, mimi niko Dodoma, kwahiyo naomba nitajiwe vyuo ambavyo haviko mbali zaidi kuvuka mikoa 3 mfano chuo kiko geita sijui, tafadhali guys naomba msaada.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.