Ni rasmi rais wa SYRIA bashar Al Assad amekimbilia nchini URUSI yeye na familia yake na amepewa makazi mjini Moscow,
Apo Jana baada ya kupinduliwa na waasi huko Syria
Bashar aliondoka ghafla na ndege na kupotea huku taarifa zikisema kuwa ndege aliyopanda ilidunguliwa na hivyo Assad ameuwawa...
Hpo Jana Israel ilifanya mashambulizi ya kulipiza kisasi nchini Iran apo Jana usiku katika mashambulizi hayo ya makombora ambayo makombora yote ya Israel yaliyopigwa Jana yalizuiwa na mfumo wq air defence system wa Iran bavar.
Hili shambulio halijaleta madhara yoyote zaidi Tu ya kuleta Moshi...
Hezbollah Leo imeshambulia kwa kombora nyumba aliyokuwepo waziri mkuu WA Israel Benjamin Netanyahu leo,
Taarifa za kuaminika kutoka Israel zinasema waziri mkuu wao alifanikiwa Ku escape huku Hezbollah wakisema kuwa Wana uhakika kuwa uenda alijeruhiwa na shambulio ilo.
Bado taarifa zaidi...
Korea Kaskazini imetuma mabomu mazito huko Korea kusini na karibu miundombinu na madaraja Kati Kati ya jiji la Seoul.
Hii unakuja mara baada ya kuonekana kwa drone za kipelelezi za Korea Kusini huko Korea Kaskazini hatua ambayo Kim Jong un ametangaza kama ni vita huku akitishia kushambulia kwa...
Kwa mujibu wa vyombo mbali mbali vya habari vimesema kwamba Israel inajiandaa KUISHAMBULIA Iran apo kesho Oct 07
Kama kumbukizi ya shambulio la Oct 07 lililofanywa na hamas Kule Israel,
Tayari wakuu wa kijeshi wa Israel walikutana na kupanga mipango ya kuishambulia Iran kesho tar 07...
Leo ndege ya kivita ya Iran jet ya kivita imeonekana ikiwa imeingia katika nchi ya Lebanon kwaajili ya kuwapelekea silaha na kuisaidia Hezbollah dhidi ya Israel.
Rada za Israel zimeinasa ndege hiyo ya kivita ya Iran kitu kilicho pelekea kuzuka Kwa tension kubwa kwamba iran ameanza rasmi...
Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un ametishia kutumia silaha za nyuklia kuiangamiza Korea Kusini iwapo itashambuliwa, vyombo vya habari vya serikali vimeripoti Ijumaa, baada ya Rais wa Korea Kusini kuonya kwamba ikiwa Korea Kaskazini itatumia silaha za nyuklia itakuwa ni “mwisho wa utawala...
Iran imesema kwamba unaweza kuishambulia Marekani iwapo tu Marekani itaendelea kuisaidia Israel kulipa kisasi.
Iran bila uoga imetamka wazi wazi tutaipiga Marekani vibaya mno na linaweza kuwa shambulio la kihistoria endapo watazidi kuwasaidia Israel kutupiga sisi.
Vyombo mbalimbali vya...
Kwa mujibu wa tovuti mbali mbali za kimataifa zimesema kuwa kuna uwezekano wa Israel KUISHAMBULIA IRAN leo usiku kama Kujibu shambulio la Iran la apo juzi.
Inasemekana Israel tayari umeanza mipango ya kuishambulia Iran leo huku kukiwa na hofu ya Israel KUISHAMBULIA visima vya mafuta vya Iran...
Iran apo Jana umeanza kuandaa makombora yake matano ya NYUKLIA katika mji wa isfarahan kama kukaa tayari KUISHAMBULIA ISRAEL iwapo Israel itajibu shambulio lao la apo juzi.
Iran IMESEMA ipo tayari Kwa vita vya NYUKLIA dhidi ya Israel.
Supreme leader wa Iran ayatollah Al khameini amesema kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.