Serikali ya Tanzania bado iko nyuma sana katika kuunga mkono suara la bima lakini kwakweli bima ni jambo muhimu sana katika jamii zote tatu yaan low income, middle na high income, mfano bima za maisha zina saidia sana katika kujikwamua na kulinda familia baada ya kifo cha wazazi ,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.