Kilimo bado ni muhimu sana nchini Tanzania, kwani kinatoa ajira kwa idadi kubwa ya watu na kuchangia takribani robo moja ya pato la ndani la taifa (Benson, 2017; Cooksey, 2012). Kwa kutegemea sana mvua kama chanzo cha mapato na matumizi, nchi nyingi maskini zinakabiliwa na hatari kubwa zaidi ya...
Uhakika Bro kabisa hata maafisa kilimo na ufugaji watapata ulazima wakuongeza knowledge zaidi sababu mashamba ya mkoa lazima yaendelee kukidhi uhitaji wa serikali na wananchi watanufaika pia
KUWEKEZA KATIKA UVUNAJI WA POLENI ZA NYUKI KWA AJILI YA MATIBABU YA FIGO
Poleni ni seli za uzazi za mimea. Nyuki, wadudu wengine, upepo, na maji hupamba mimea kwa kuhamisha poleni kutoka kwenye utumbi hadi kwenye stigma ya mimea nyingine. Muundo wake hutofautiana kulingana na eneo ambapo...
UTANGULIZI
Tanzania ni mojawapo ya nchi zinazoendelea barani Afrika. Ingawa changamoto zipo, tunaamini kuwa tuna fursa kubwa ya kujenga mustakabali mzuri kwa taifa letu. Chapisho la Gupta, 2020, linatuonyesha kuwa asilimia 80% ya ajira zinatokana na kilimo, huku asilimia 20% zikitokana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.