Faida za kunywa maziwa zipo wazi tu ndugu na pia kuhusu yapi yananenepesha zaidi ya mengine utafiti huo bado haujafanyika.ILA kati ya yale makundi matatu kundi la pili lipo salama zaidi (cultured buttermilk),sababu maziwa huchemshwa kwanza kabla ya hatua ya ugandishwaji ukilinganisha mtindi...
Usikate tamaa ndugu mteja mtarajiwa...Hansal Deepot mkombozi wako...jaribu maziwa yetu muda wowote na utajionea utofauti ni halisi 100% na hayajazimuliwa na chochote.
Ni rahisi mno ndugu....kujua maziwa yamechakachuliwa na maji (milk adulteration) kwa ngazi yanyumbani chapchap, kuna njia kuu mbili ambazo ni:
Lactometer test-involves using a special instrument called lactometer to find out the amount of water in the milk (kifaa hiki kinapatikana kwenye duka...
Habari ndugu Mob....ombi lako limefika,tutalifanyia kazi na utapata mrejesho karibuni na kama kuna maelekezo mengine tafadhali wasiliana nasi kupitia inbox. Ahsante
Habari ndugu mteja...
MAZIWA yetu ni halisi kabisa hatuongezi chochote (No additives ,No water adulteration ) na pia kama ikatokea tatizo ambalo kimsingi litakuwa limesababishwa na upande wetu basi tunapokea returns na mteja atafidiwa mara moja.
HATUA JINSI MAZIWA YANAVYOPATIKANA MPAKA KUMFIKIA...
Hello ndugu mteja......
Kuna aina tatu za mtindi
Traditional buttermilk (made by settling unpasteurized milk)
Cultured buttermilk (made by adding lactic acid bacteria to pasteurized milk)
Acidified buttermilk (made by food grade acid such as lemon acid)
Maziwa yetu ni kundi la pili.Maziwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.