Recent content by Hans Michael Tesha

  1. H

    Kazi za afisa Ugavi kupitia MDA & LGA's

    mbona mikeka yana afisa ugavi hawafiki hata 300 tokea january hii
  2. H

    Kazi za afisa Ugavi kupitia MDA & LGA's

    hii inawezekana kweli maana ukifuatilia mkeka iliotoka na nafasi za afisa ugavi tokea mwanzoni mwaka huu baada ya oral hawafiki hata 200. Daah nchi hii sijui tunaelekea wapi
  3. H

    Kazi za afisa Ugavi kupitia MDA & LGA's

    Habari wanajamii. Natumaini wote wazima. Hivi zile kazi za afisa ugavi 340 za mwaka jana agosti naomba kuulizia hivi nafasi zote zimeshapangiwa kwa waliofaulu??
Back
Top Bottom