Wakuu poleni na majukumu ya hapa na pale
Napenda kujua kwanini wanawake wengi wanapenda sana kudate na bad boys.
Wanawake wengi warembo huwaambii kitu kwa wanaume bad boys au wanaume wahuni. Shida ni nini?
Mfano mzuri kuna rafiki yangu mmoja ni muhuni kweli anavuta bangi kinoma lakini kuna...
SEHEMU YA 17
************************
Nikiwa pale naishi kwa salome niliweza kuishi vizuri sana niliweza kuokoka na kuanza kumjua mungu mungu alinibadilisha sana nilifurahia maisha yangu mapya ya kidini siku zilienda zilienda nakumbuka usiku mmoja tupo na salome tumetoka kanisani tulikuwa...
Niliwahi kwenda ile fremu ishafungwa kabjsa na unajua mimi na fetty tuliachana mwaka 2020 mwezi wa nane ndio ameacha kunifuatilia sema kutoondoa utamu wa stori nitaelezea kila kitu leo na jinsi nilivyounganishwa na chama cha wachawi gamboshi
Ni kweli mkuu salome alikuwaga mpenzi wangu kipindi tulipokuwa shule kwahyo ilipita miaka mingi sana toka tumeachana na kila mtu akawa ana mishe zake so ilikuwa ngumu kulala kitanda kkmoja kwa haraka haraka maana kila mtu alikuwa ameshapitia mahusuano mengine na hata uhusiano uliporudi tuliaenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.