Recent content by Hanang

  1. H

    JamiiForums Tanzania Nimechoshwa na Huu umungu mtu unaooneshwa na serikali! Mpaka Sasa Mshahara haujatoka? Mnatuchukuliaje?

    Siku tatu kabla zipi, nahisi na wewe hujui ulichokiandika.
  2. H

    JamiiForums Tanzania Nimechoshwa na Huu umungu mtu unaooneshwa na serikali! Mpaka Sasa Mshahara haujatoka? Mnatuchukuliaje?

    Huyo bibi Faiza haelewi ana kichwa kigumu, mfano mzuri mwisho wa mwaka wa hesabu za serikali ni tar 30 June na siyo tarehe 31 december, Mfundisheni kwamba mwisho wa mwezi kwa mtumishi wa serikali ni tar 21 au 22, ili kuujaza mwezi kamili.
  3. H

    JamiiForums Tanzania Nimechoshwa na Huu umungu mtu unaooneshwa na serikali! Mpaka Sasa Mshahara haujatoka? Mnatuchukuliaje?

    Tatizo kuna baadhi ya watu wenye uelewa mdogowanafikiri kwamba tarehe 30 ndo mwisho wa mwezikiserikali, wakati leo ni siku ya 32 tokea mshara wa mwezi wa 5 ulipotoka.
  4. H

    JamiiForums Tanzania Nimechoshwa na Huu umungu mtu unaooneshwa na serikali! Mpaka Sasa Mshahara haujatoka? Mnatuchukuliaje?

    wewe bibi kweli una mashetani, mwisho wa mwezi kwa mtumishi wa serikali anayelipwa kila tarehe 22 ni upi
  5. H

    JamiiForums Tanzania Jumla ya ada ya kusoma degree ya udaktari katika chuo kikuu cha Kairuki kwa miaka yote mitano ni milioni 32, swali langu is it worth it ?

    Haya braza, Mimi siwezagi kubishana na wajuaji, nimemaliza chuo 2020, ni kweli ada Sasa hv zimepanda ila siyo mil 6 na kuendelea kama unavyosema,
  6. H

    JamiiForums Tanzania Jumla ya ada ya kusoma degree ya udaktari katika chuo kikuu cha Kairuki kwa miaka yote mitano ni milioni 32, swali langu is it worth it ?

    Wote daktari, nesi, mpaka medical attendant, kinachotofautiana ni kiwango tu Cha pesa
  7. H

    JamiiForums Tanzania Jumla ya ada ya kusoma degree ya udaktari katika chuo kikuu cha Kairuki kwa miaka yote mitano ni milioni 32, swali langu is it worth it ?

    Ni kweli mkuu JF wajuaji ni wengi sometimes unasoma kitu unaona kabisa siyo Cha kweli na watu wanachangia...inabidi upite kimya kimya tu
  8. H

    JamiiForums Tanzania Jumla ya ada ya kusoma degree ya udaktari katika chuo kikuu cha Kairuki kwa miaka yote mitano ni milioni 32, swali langu is it worth it ?

    Basic salary ni ndogo, kinachookoa Kuna Hela nyingine kama za bima nk
  9. H

    JamiiForums Tanzania Jumla ya ada ya kusoma degree ya udaktari katika chuo kikuu cha Kairuki kwa miaka yote mitano ni milioni 32, swali langu is it worth it ?

    mwambie tu minne maana naona vyuo vingi sa hv MMED wamekazia hapo kwenye kozi nyingi, hapo Bado Kuna kurudia mwaka mtu asipokuwa making 😂
  10. H

    JamiiForums Tanzania Jumla ya ada ya kusoma degree ya udaktari katika chuo kikuu cha Kairuki kwa miaka yote mitano ni milioni 32, swali langu is it worth it ?

    Sa hv ma specialist ni wengi, sio kama zamani na vijiwe vya Private ni vingi, kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake
  11. H

    JamiiForums Tanzania Jumla ya ada ya kusoma degree ya udaktari katika chuo kikuu cha Kairuki kwa miaka yote mitano ni milioni 32, swali langu is it worth it ?

    Ada ya CUHAS kweli ni ndefu nilimpeleka dogo 2021 MD 1 ada ilikuwa 5200000 na points kama nakumbuka vizuri, sijajua wale walikwama wapi maana hata wa nyuma yao gharama zao inaonekana ni humo humo
  12. H

    JamiiForums Tanzania Jumla ya ada ya kusoma degree ya udaktari katika chuo kikuu cha Kairuki kwa miaka yote mitano ni milioni 32, swali langu is it worth it ?

    Hospitali kama hizo wengi wanapiga party time tu, mkataba unakuwa limited na muda unaofanya kazi na procedures mtu anazofanya
Back
Top Bottom