Huyo bibi Faiza haelewi ana kichwa kigumu, mfano mzuri mwisho wa mwaka wa hesabu za serikali ni tar 30 June na siyo tarehe 31 december, Mfundisheni kwamba mwisho wa mwezi kwa mtumishi wa serikali ni tar 21 au 22, ili kuujaza mwezi kamili.
Tatizo kuna baadhi ya watu wenye uelewa mdogowanafikiri kwamba tarehe 30 ndo mwisho wa mwezikiserikali, wakati leo ni siku ya 32 tokea mshara wa mwezi wa 5 ulipotoka.
Ada ya CUHAS kweli ni ndefu nilimpeleka dogo 2021 MD 1 ada ilikuwa 5200000 na points kama nakumbuka vizuri, sijajua wale walikwama wapi maana hata wa nyuma yao gharama zao inaonekana ni humo humo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.