Ipi kozi nzuri yenye uwanja mkubwa wa kujiajiri na kuajiriwa? Nataka niapply mwakani kati ya Clinical Medicine na Biomedical Equipment Engineer
Naomba ushauri wenu wadau.
Wanaojua kuhusu hi kozi ya food science and technology kwa diploma ukimaliza unaweza kuomba degree baada ya kumaliza diploma na kwa GPA ya ngapi kuomba kwenda degree ya hii kozi?
Nacte tarehe 10/8/2019 hilitoa luhusa ya kuhama kozi mimi nilihama korongwe teacher college nkaenda MUST hivi ukiama unakuwa bado government sponsorship au private sponsorship
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.