Recent content by Hamza gugo

  1. H

    Wadau msaada wenu katika kuchagua kozi

    Ipi kozi nzuri yenye uwanja mkubwa wa kujiajiri na kuajiriwa? Nataka niapply mwakani kati ya Clinical Medicine na Biomedical Equipment Engineer Naomba ushauri wenu wadau.
  2. H

    Unahitaji GPA ya ngapi kuomba degree ya Food Science and Technology?

    . Diploma ya food science and technology inatolewa MUST ambako nimechaguliwa na DIT ndio na jua koz hii kwa diploma inapotolewa
  3. H

    Unahitaji GPA ya ngapi kuomba degree ya Food Science and Technology?

    Wanaojua kuhusu hi kozi ya food science and technology kwa diploma ukimaliza unaweza kuomba degree baada ya kumaliza diploma na kwa GPA ya ngapi kuomba kwenda degree ya hii kozi?
  4. H

    Naomba kuuliza wadau wa Elimu

    eeh tulipangiwa direct na nacte
  5. H

    Naomba kuuliza wadau wa Elimu

    Nacte tarehe 10/8/2019 hilitoa luhusa ya kuhama kozi mimi nilihama korongwe teacher college nkaenda MUST hivi ukiama unakuwa bado government sponsorship au private sponsorship
Back
Top Bottom