MAHARAGE MEKUNDU NA ROSECOCO (KOMBAT) yanauzwa kuanzia 100KG na kuendelea. Maharage yamesafishwa na yamepakiwa kwenye viroba vya 25kg. Ghala liko tabata, Dar es salaam, bei kwa kilo tsh.1450 . Mikoani utatumiwa kwa gharama zako.
0652601602
Habari, ninatafuta kampuni inayofanya export ya nyama hasa export ya utumbo wa ng'ombe( beef omasum). Kama unafanya au unamfahamu anaefanya hiyo biashara naomba tuwasiliane. 0652601602
MAHINDI yanauzwa Tsh 470/kg
Ziko tani 400
Mzigo unapatikana tabata- Dar es salaam.
MAGUNIA yaliyotumika mara 1 yanauzwa.
Yako 2200
Bei kwa gunia 1 ni tsh 2500
Magunia yanapatikana tabata- Dar es salaam .
GODOWN lenye eneo la 550sqm linakodishwa
Bei $5/sqm/month
Muda wa Kukodi kuanzia miezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.