Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25. Mkazi wa Kigamboni. Nina elimu ya astashahada katika fani ya manunuzi yaani [ procurement, logistics and supply chain management]
Kutokana na changamoto za kimaisha imenibidi kutafuta kazi na siyo kuajiliwa tenah, hivyo nilikuwa naomba kazi, mwenye...
Kulingana na aina ya kazi au mwajiri kaniajili kada ipi ya kazi hapo ndo taweza kusema
Au wewe ulikuwa unataka kuniajiri unambie ni kada ipi theni ndo naweza kusema au kukwambia Kwa usahihi zaidi🙏🙏
Kwa majina naitwa Hamis Mahujaji Hamis, mwenye umri wa miaka 24, mwenye makazi ya mkoa wa Dar Es Salaam katika wilaya ya Kigamboni.
Elimu yangu ni Ngazi ya cheti pia ni muhitimu muhitimu katika chuo kikuu Cha Dar Es Salaam Maritime Institute mwaka huu wa masomo wa mwaka 2024 katika level ya...
Shuk
Shukrani sana🙏🙏
Sikuzote kama hauna kitu na upo kwenye mapambano au kurupushani za kimaisha we shukua ushauri wote ndo hapo utapambanua lipi Zuri lakulifanyia kazi na kukichukua na lipi na kulipuuzia📌📌
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.